NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Jan 11, 2011 #1 Jamani hebu tusaidiane hilim limachinga complex lini litaanza kazi yake? Naninani alitoa wazo la hili complex? Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi? Nimewaza sipati jibu hebu mnaojua juu ya huu mradi mtujuze... Mipango yake ni vipi?
Jamani hebu tusaidiane hilim limachinga complex lini litaanza kazi yake? Naninani alitoa wazo la hili complex? Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi? Nimewaza sipati jibu hebu mnaojua juu ya huu mradi mtujuze... Mipango yake ni vipi?
zomba JF-Expert Member Joined Nov 27, 2007 Posts 17,240 Reaction score 3,930 Jan 11, 2011 #2 La wapi? kama la Dar limesha-anza kazi!
NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Jan 11, 2011 Thread starter #3 zomba said: La wapi? kama la Dar limesha-anza kazi! Click to expand... La dar mkuu bado kabisa nilipita pale wenye vibanda wanalalamika kuwa no wateja na wanatakiwa kulipia kila siku..
zomba said: La wapi? kama la Dar limesha-anza kazi! Click to expand... La dar mkuu bado kabisa nilipita pale wenye vibanda wanalalamika kuwa no wateja na wanatakiwa kulipia kila siku..
payuka JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 829 Reaction score 127 Jan 11, 2011 #4 zomba said: La wapi? kama la Dar limesha-anza kazi! Click to expand... Zomba Mzushi yupo kazini! Huna lolote
zomba said: La wapi? kama la Dar limesha-anza kazi! Click to expand... Zomba Mzushi yupo kazini! Huna lolote
N Neytemu Member Joined Nov 7, 2010 Posts 83 Reaction score 1 Jan 12, 2011 #5 machinga complex haiwezi kufanya kazi kama tunavyotegemea labda tu soko la Karume likifungwa complex iko karibu sana na soko la karume wateja waote ambao wangeweza kujaa humo wanaishia Karume
machinga complex haiwezi kufanya kazi kama tunavyotegemea labda tu soko la Karume likifungwa complex iko karibu sana na soko la karume wateja waote ambao wangeweza kujaa humo wanaishia Karume
NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Mar 14, 2011 Thread starter #6 Neytemu said: machinga complex haiwezi kufanya kazi kama tunavyotegemea labda tu soko la Karume likifungwa complex iko karibu sana na soko la karume wateja waote ambao wangeweza kujaa humo wanaishia Karume Click to expand... Hapa ipo kazi si wangejenga nyumba za makazi pale , kuliko hilo complex halijaanza kutema chochote sasa ni miezi kadhaa tangu lianze
Neytemu said: machinga complex haiwezi kufanya kazi kama tunavyotegemea labda tu soko la Karume likifungwa complex iko karibu sana na soko la karume wateja waote ambao wangeweza kujaa humo wanaishia Karume Click to expand... Hapa ipo kazi si wangejenga nyumba za makazi pale , kuliko hilo complex halijaanza kutema chochote sasa ni miezi kadhaa tangu lianze