NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,313
Jamani hebu tusaidiane hilim limachinga complex lini litaanza kazi yake?
Naninani alitoa wazo la hili complex?
Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi?
Nimewaza sipati jibu hebu mnaojua juu ya huu mradi mtujuze...
Mipango yake ni vipi?
Naninani alitoa wazo la hili complex?
Nadhani ni pesa nyingi zimetumika, sasa serikali huu mradi vipi?
Nimewaza sipati jibu hebu mnaojua juu ya huu mradi mtujuze...
Mipango yake ni vipi?