Unastahili kulipwa lakini ni sharti uchukue hatua za kudai haki yako
kumbuka hakuna haki utakayoletewa kwenye kisahani...
Mwone mkuu wa kituo au OCD au RPC
AU andika demand letter/note kwa Mkuu wa kituo mnakilie Ocd, Rpc na hata IGP
Pia waweza kufuata taratibu zilizoainishwa katika Government Proceedings Act kulishitaki jeshi la Polisi
Kumbuka kabla hujaruka mto agana na nyonga zako kwanza...hakikisha unao ushahidi wa kutosha kuhusu
madai yako kabla ya kuchukua hatua yeyote vinginevyo yaweza kula kwako...
Onana na wakili/mwanasheria aliyekaribu nawe akushauri