stev30sudi
Member
- Feb 3, 2012
- 45
- 17
Inakuwaje gari au pkpk linapokamatwa na kupelekwa kituo cha Polisi, ndani ya siku chache tu hung'olewa vifaa<spea> palepale Kituoni? Mmilki amdai nani uharibifu huo kwani hakuna uhusiano wa kosa lilimfikisha pale na kuingizwa hasara ya mali kwa Uzembe au kukosa uaminifu kwa Watendaji Serikalini?