Kuna mtu nimempipia simu ikapokelewa lakin hakuongea nikakata simu,baada ya kukata simu ikaingia text inayoonesha. Connected,A,EXPW:ON,[URL="http://maps.google.com/maps?q=-3.379723,36.669060&t=m
Nikahisi kuna mtu ametumia google map kufanya tracking ni njia ipi atakayoitumia anafanfiwa tracking asipatikane kwa kutumia google map?