Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Tujitahidini kutotumia maneno ya kuudhi katika jukwaa hili ili kulienda heshima yake. Jukwaa hili linaheshimika sana kuliko majukwaa mengine ya kijamii.
Nakuelewa mkuu lakini unajua sometime dawa ya moto ni moto Ukimuonyesha busara mtu kama huyu anaweza asijifunze.