Tujitahidini kutotumia maneno ya kuudhi katika jukwaa hili ili kulienda heshima yake. Jukwaa hili linaheshimika sana kuliko majukwaa mengine ya kijamii.
Powa mkuu watu kama hawa dawa yao ndogo zitaendela kuja akimaliza zote nitarusha na mm nilichokuwa namjibudah! Pole sana mkuu.
Zima simu toa memory kadi alafu washa memory ikiwa nje alafu type *#7370# alafu bonyeza kifungo cha kupigia. Baada ya hapo certificate error zilizokuwa zinazuia .SIS files kufanya installation zitakuwa poa. Hapo utaweza rudisha m.card yako na kuendelea na matumizi.
binmgen, hyo certificate file ni kwa s40 mine ni s60 v5.
weka nokia pc suite kwenye compt yako afu i-connect sim yako via bluetoth,cable or infered lakn kwa cable ndo mara nying huw inakubar kuunga intanet..
Steps fungua nokia pc suite
ikishafungua kiwindow chake ingia sehemu imeandkwa one-touch connection hakikisha simu yko iko konected na pc yko via cable
Yangu pia inaleta ujumbe kama huo,msaada tafadhaliMie simu yangu Nokia N91 4GB ilikuwa nzima inafanya kaz ila Ndugu yangu akaiflash kutoka hapo nikiiwasha inanipa message ya "Startup error contact retailer" so kuna uwezekano kuwa alitumia wrong software version nimeipeleka kwa fundi mwingine jitihada hazijazaa matunda mpaka sasa nimeiweka tu nashindwa kuitumia yeyote anaeweza kunisaidia msaada tafadhali.
simu yangu ni nokia N81 nataka kuzisikiliza call zote zinaingia ktk cmu(nokia 1203-2) ya my wife wangu bila yy kujua. Naomba msaada wenu nifanyeje?
Hahahahaha nampenda sana my wife wangu cntoweza kumuacha kwasababu ya cmu,kanivumilia sana bana,na nimemtolea mfano my wife wangu ili iwe rahisi kwangu maana cmu yake naweza kuichezea bila matatizo yoyote. Na kuhusu kimeo nilichomnunulia sababu yuko careless sana kashapoteza cmu nyingi sana za maana. Nataka nijifunze mkuu naomba unisaidie ktk hililoh.mkubwa inaonyesha my wife wako humpendi.lol maana hapo unachotaka kujua ni mwanaume yupi anae mtongoza my wife wako.nasema humpendi kwanza hata ka simu kenyewe ulikompa kabaya pili unataka ujue nani anaemtongoza.najua unatafuta njia ya kumtema.lol. Kama ungesema unataka kujifunza ili ujue ningekupa mwanzo wa kuanzia lakini eti unataka usikie simu za waifu wako....mh mimi simo.
Express the problem you have to get a solution