Computer yangu imezima ghafla

Computer yangu imezima ghafla

kyesha

Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
22
Reaction score
17
Habari za Midaa Wadau!!

Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto.

Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka

Adapter Iko gudi tu, ni Dell
 
Habari za Midaa Wadau!!!
Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto .
Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka

Adapter Iko gudi tu, ni Dell
Inamda gani tangia ununue na unatabia ya kuazimisha
 
Habari za Midaa Wadau!!

Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto.

Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka

Adapter Iko gudi tu, ni Dell
Embu Nijib kwanza aya maswali kisha tupate ufumbuzi;
Umejuaje kama Adapter ipo sawa?
Na imegoma kuwaka ukibonyeza power button inafanyaje?
Umetoa battery na kuwasha kwa kutumia adapter?
Je Pc yako inatabia ya kupata moto sana wakati wa kuitumia?
 
Back
Top Bottom