condom.......kwa kiswahili.....

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nimeona nije niilete hapa...
zamani niliwahi kuambiwa Condoms kwa kiswahili zinaitwa KIFUDUSI au VIFUDUSI..Kwa wingi...

lakini sijasikia saana haya maneno yakivuma....
sasa naona ni wakati muafaka yakatumika na kama kuna mtu anajua zaidi ya haya
aweke hapa wengine wajifunze
 
Naomba kifudusi cha salama....dah imetulia aisee! Kiswahili kizuri sana
 
wale wazee wakiswahili wao ndio wanaoharibu kiswahili
 
kifudusi ???? duh . kama mzizi vile , muuzaji nipe kifudusi cha ruff ryder.
it sound weird
 
nashukuru kwa tafsiri. Mi zamani nilikuwa ninaita GAMBA. Nisaidie gamba la salama
 
Sasa The Boss, unataka kuanza kufanya u-kharamu pwani? Watakukimbiza na bakora wazee wa kule,ooho! Na vifudusi haviuzwi hadharani!
 
inaitwa mpira wa kiume. Dukani wateja wanaiita soksi ya mguu wa kati.
 
Nimesikia jamaa anaagiza dukani nipe kifanyio lafu laida.
 
livipi labda?
wanaharibu maana wanakaa kama kamati na kutafuta neno la kiswahili badala ya kuacha lugha ijipanue yenyewe-mbona tunatumia maneno ya kiarab,kireno n.k
so naon kwa maneno kama kondom,password yaachwe yabakie kama yalivyo-ijulikane ni neno la kigeni tumeazima-kuliko kukaa na kutafuta maneno wanayojua wao wenyewe na kufanya hata sisi waswahili tushindwe kuyafahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…