condom.......kwa kiswahili.....

condom.......kwa kiswahili.....

Kule kwetu condom inaitwa KIFANYIO.......................
 
kifudusi?kufudua sijui,kiswahili kigumu kweli kweli
 
Nimeona nije niilete hapa...
zamani niliwahi kuambiwa Condoms kwa kiswahili zinaitwa KIFUDUSI au VIFUDUSI..Kwa wingi...

lakini sijasikia saana haya maneno yakivuma....
sasa naona ni wakati muafaka yakatumika na kama kuna mtu anajua zaidi ya haya
aweke hapa wengine wajifunze

Naenda dukani nasema nataka mpira...wa kiume/kike
 
Kuna vitu vingi sana havina kiswahili....
mi huwa naiita NDOKUDOM
 
Nasikia (nasisitiza kusema kuwa NIMESIKIA) kuwa jamaa zetu Wahaya wanaziita KIFANYIO. Na kuna kipindi walikuwa wanazifua baada ya kuzitumia. (Kwa hiyo haikuwa ajabu kusikia kauli kama hii: "Jirani, niazime kifwanyio, cha kwangu nimekifua hakijakauka")
 
Nasikia (nasisitiza kusema kuwa NIMESIKIA) kuwa jamaa zetu Wahaya wanaziita KIFANYIO. Na kuna kipindi walikuwa wanazifua baada ya kuzitumia. (Kwa hiyo haikuwa ajabu kusikia kauli kama hii: "Jirani, niazime kifwanyio, cha kwangu nimekifua hakijakauka")


Ngoja Bishanga aje atupe ushuhuda!!

Haya mambo ya ku-reuse condoms yameripotiwa sehemu nyingi tu za Tanzania na si Bukoba peke yake....

Hata hivyo kama watu wana-reuse basi hata kuazimana inawezekana!!

Babu DC!!
 
Ngoja Bishanga aje atupe ushuhuda!!

Haya mambo ya ku-reuse condoms yameripotiwa sehemu nyingi tu za Tanzania na si Bukoba peke yake....

Hata hivyo kama watu wana-reuse basi hata kuazimana inawezekana!!

Babu DC!!

Wewe unanitafutia matatizo mwenzio!
 
hahahhahhaahahahhahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... KIFUDUSI.......aiseee nimecheka hadi nikabanwa na mkojo.....bora tutumie Condom tu italeta maana Kifudusi kwa wezetu Mwanza wataita KIFUDI ( kijambo) na wenzetu wa A town machaliii wataita KIKUNDUSI si muda mrefu halafu ipoteze umaana kabisa
 
Back
Top Bottom