Condom no more huhu hu

Janja PORI

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
825
Reaction score
246
wadau proffesa sousan wa Marekani pamoja na wenzake wa JOHN HOPSKN UNIVERSITY, wamegundua kuwa matumizi ya ARV yanaweza mfanya mtu mwenye HIV anayetumia ARV kusex na mtu asiye na HIV na asipate HIV.
this means what? you can use ARV then ukaply safe kbsa.
NOTE.Authorities for this is under author custody.

pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from ARV mpo hapoo wapenda ..
 
Mm! Maelezo zaidi tafadhali..
 
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... labda ulete maelezo kwanza.
halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
wengi hawajui status yao na hawako under arv
 
Mm! Maelezo zaidi tafadhali..

yani wamegundua kutokana na tafiti zao kwamba kwa mtu aliyena virus na anatumia ARV anapokutan kimwili na mtu asiye na maambukizi si lazima kutumia kondomu wanaweza jamiiana bila kuambukizana. umensoma. kwahiyo arv unaweza tumia ka kinga unameza unaenda play game.
swali ni kwamba hawa nani atakuwa mjasiriiu
 
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... labda ulete maelezo kwanza.
halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
wengi hawajui status yao na hawako under arv

I concur with you mwali, swala ni kwamba si unajua kuna watu wanajua wameukwaa but wanaambukiza maksudi ? hii itapunguza maana kama mtu kaathirika na antumia arv na anaaka smbaza maksudi atashindwa.

kingne ni kwamba watu watataka wameze ARV hata ka hawaumwi kusudi wajikinge
 
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... labda ulete maelezo kwanza.
halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
wengi hawajui status yao na hawako under arv

Mwali hata mimi sijaelewa ujue..kwa hio wanashauri watu wanywe arvs as an alternative ya condoms au nini?
 
C walisemaga kama haunaga ngoma uctumiage ARV hatari kwa afya yako kulikoni leo?
 
Mwali hata mimi sijaelewa ujue..kwa hio wanashauri watu wanywe arvs as an alternative ya condoms au nini?

me nimeskiza habari bbc, so sijajua kama wanashauri bt nadhani wanato mwongozo kwamba iwepo watu wote wenye ngoma watatumia ARV kuakuwa hakuna maambukizo cz ARV ni kinga ndo wazungu hao
 
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... labda ulete maelezo kwanza.
halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
wengi hawajui status yao na hawako under arv

Na wala hakuna viashiria wala dalili zinazoonyesha kwamba wanataka kujua..so anayetaka kuyalenga maisha yake na risasi ajaribu aone nini itatokea mbele
 
nakutakia kuambukizwa kwema mleta mada......

Maana ukifuatisha tu, itakula kwako!
 
ngoja uanze kupata halucination za efavirenz ndo uone utamu wa dawa
 
nakutakia kuambukizwa kwema mleta mada......

Maana ukifuatisha tu, itakula kwako!

mbadili tabia me nimeleta news mjadili haha ni tafiti za wenzetu ulaya bwana mpaka tbs ya bongo itamke japo me binafsi not into those stafffffffffffffs
 
mbadili tabia me nimeleta news mjadili haha ni tafiti za wenzetu ulaya bwana mpaka tbs ya bongo itamke japo me binafsi not into those stafffffffffffffs

ndo usijaribu. Hayo mautafiti yao waachie wenyewe
 
Kuna siku mtakuja kutuambia tumeze kondomu
 
guys, lets bring maturity to our lives, tusisifie sana kupiga peku in an era ambayo hata hizo studies hazijatekelezwa in large scale, achilia mbali adha nyingi kama magonjwa mengine ya zinaa, mimba zisizopangwa na uhakika wa 100% safety

what about genetic variation?
 
hawa wazungu kuweni makini nao kwani wanaendelea kila siku kutafuta namna ya kupunguza idadi ya watu weusi.wanajua africa ndo imeathirika zaidi na hili gonjwa hivyo wanajaribu kuangalia ni namna gani tutaendelea kusambaziana virusi.huu utafiti sina imani nao
 
kwa wasiopenda kutumia kondom nadhani hizo habari zinafurahisha kusikia. but kuweni makini isije ikawa njia ya kurahisisha vifo vya watu weusi ambao huathirika sana na H.I.V. licha ya kwamba wazungu wanaongoza kwa ufuska lakini athari zaidi ni kwa hii ngozi nyeusi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…