Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili
ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua.
kwa hiyo ukijamiiana na mwenye virusi akiwa kwenye dawa za ARV INTEGEMEWA KWAMBA WALE VIRUSI WANAKUWA WACHCHE SANA NA WAKATI MWINGINE HAWAPO KABISA KWENYE MZUNGUKO LAKINI WANAKUWEPO KWENYE DNA YA CHEMBE HAI HIVYO KINGA IKITETERAKA KWA SABABU YOYOTE KAMA KUACHA DAWA, KUPATA MAGONWA MENGINE WANAANZA KUZALIANA TENA NA WANAANZA KUWA KWENYE MZUNGUKO WA DAMU.
Hao Mprof wako sawa lakini haimaanishi kua uko salama kwa sababau ni pmaka apimwe mtu kiasi cha virusi kilicho kwenye mzunguko wa damu ndo ujue yuko salama au la .
sanateni
nawasilisha
doctor
wadau proffesa sousan wa marekani pamoja na wenzake wa john hopskn university, wamegundua kuwa matumizi ya arv yanaweza mfanya mtu mwenye hiv anayetumia arv kusex na mtu asiye na hiv na asipate hiv.
This means what? You can use arv then ukaply safe kbsa.
Note.authorities for this is under author custody.
Pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from arv mpo hapoo wapenda ..
kapige peku ufe
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... Labda ulete maelezo kwanza.
Halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
Wengi hawajui status yao na hawako under arv
wadau proffesa sousan wa Marekani pamoja na wenzake wa JOHN HOPSKN UNIVERSITY, wamegundua kuwa matumizi ya ARV yanaweza mfanya mtu mwenye HIV anayetumia ARV kusex na mtu asiye na HIV na asipate HIV.
this means what? you can use ARV then ukaply safe kbsa.
NOTE.Authorities for this is under author custody.
pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from ARV mpo hapoo wapenda ..
Pia imegundulika kwamba ukinywa dawa ya ngao hata ukilala bila net ukaumwa na mbu mwaka mzima hutapata malaria.wadau proffesa sousan wa Marekani pamoja na wenzake wa JOHN HOPSKN UNIVERSITY, wamegundua kuwa matumizi ya ARV yanaweza mfanya mtu mwenye HIV anayetumia ARV kusex na mtu asiye na HIV na asipate HIV.
this means what? you can use ARV then ukaply safe kbsa.
NOTE.Authorities for this is under author custody.
pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from ARV mpo hapoo wapenda ..
Hapo kwenye nyekundu; Ninavyofahamu ARV's zinazuia virusi visiendelee kuzaana, na kuimarisha mfumo wa kinga wa mwili kuzuia vile vilvyopo katika mwili kuleta athari. Km ulivyoeleza kwenye bluu iwapo mwenye vvu ataacha dawa virusi vitaendelea kuzaana na kuishinda kinga ya mwili ndipo hushambuliwa na magonjwa nyemelezi.weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili
ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua.
kwa hiyo ukijamiiana na mwenye virusi akiwa kwenye dawa za ARV INTEGEMEWA KWAMBA WALE VIRUSI WANAKUWA WACHCHE SANA NA WAKATI MWINGINE HAWAPO KABISA KWENYE MZUNGUKO LAKINI WANAKUWEPO KWENYE DNA YA CHEMBE HAI HIVYO KINGA IKITETERAKA KWA SABABU YOYOTE KAMA KUACHA DAWA, KUPATA MAGONWA MENGINE WANAANZA KUZALIANA TENA NA WANAANZA KUWA KWENYE MZUNGUKO WA DAMU.
Hao Mprof wako sawa lakini haimaanishi kua uko salama kwa sababau ni pmaka apimwe mtu kiasi cha virusi kilicho kwenye mzunguko wa damu ndo ujue yuko salama au la .
sanateni
nawasilisha
doctor
huu msala karibu tutaduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu bila hata kinga