Condom no more huhu hu

Condom no more huhu hu

weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili

ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua.
kwa hiyo ukijamiiana na mwenye virusi akiwa kwenye dawa za ARV INTEGEMEWA KWAMBA WALE VIRUSI WANAKUWA WACHCHE SANA NA WAKATI MWINGINE HAWAPO KABISA KWENYE MZUNGUKO LAKINI WANAKUWEPO KWENYE DNA YA CHEMBE HAI HIVYO KINGA IKITETERAKA KWA SABABU YOYOTE KAMA KUACHA DAWA, KUPATA MAGONWA MENGINE WANAANZA KUZALIANA TENA NA WANAANZA KUWA KWENYE MZUNGUKO WA DAMU.

Hao Mprof wako sawa lakini haimaanishi kua uko salama kwa sababau ni pmaka apimwe mtu kiasi cha virusi kilicho kwenye mzunguko wa damu ndo ujue yuko salama au la .

sanateni
nawasilisha
doctor
 
weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili

ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua.
kwa hiyo ukijamiiana na mwenye virusi akiwa kwenye dawa za ARV INTEGEMEWA KWAMBA WALE VIRUSI WANAKUWA WACHCHE SANA NA WAKATI MWINGINE HAWAPO KABISA KWENYE MZUNGUKO LAKINI WANAKUWEPO KWENYE DNA YA CHEMBE HAI HIVYO KINGA IKITETERAKA KWA SABABU YOYOTE KAMA KUACHA DAWA, KUPATA MAGONWA MENGINE WANAANZA KUZALIANA TENA NA WANAANZA KUWA KWENYE MZUNGUKO WA DAMU.

Hao Mprof wako sawa lakini haimaanishi kua uko salama kwa sababau ni pmaka apimwe mtu kiasi cha virusi kilicho kwenye mzunguko wa damu ndo ujue yuko salama au la .

sanateni
nawasilisha
doctor

Niliandika habari hii kwenye thread yangu ila watu hawakutaka kuamini, hata hivyo natilia mashaka na ufafanuzi wako dokta, labda ungeanza kwa kutueleza kazi ya ARV ni ipi mwili na inaweza kurefusha maisha kwa mtu mwenye virus vya Ukimwi....zaidi ya hapo natilia shaka na taaluma yako unless ni dokta wa mitishamba
 
wadau proffesa sousan wa marekani pamoja na wenzake wa john hopskn university, wamegundua kuwa matumizi ya arv yanaweza mfanya mtu mwenye hiv anayetumia arv kusex na mtu asiye na hiv na asipate hiv.
This means what? You can use arv then ukaply safe kbsa.
Note.authorities for this is under author custody.

Pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from arv mpo hapoo wapenda ..

haaaaa wale wanaojifanyaga umafia wa kutaka kuambukiza wenzao watachukia sana lol
 
kwa kweli ni gumu kidogo kuamini... Labda ulete maelezo kwanza.
Halafu haya si ni kwa wale wanao jijua na kujitunza tayari?
Wengi hawajui status yao na hawako under arv

na vipimo vya mama nyoni vya kimagimash wengne wanagonga arv bila kuumwa.hvi huyu mama kwanini asishtakiwe?
 
wadau proffesa sousan wa Marekani pamoja na wenzake wa JOHN HOPSKN UNIVERSITY, wamegundua kuwa matumizi ya ARV yanaweza mfanya mtu mwenye HIV anayetumia ARV kusex na mtu asiye na HIV na asipate HIV.
this means what? you can use ARV then ukaply safe kbsa.
NOTE.Authorities for this is under author custody.

pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from ARV mpo hapoo wapenda ..

Piga peku uone. Si ukimwi tu but unplanned pregnancies or other STDs
 
wadau proffesa sousan wa Marekani pamoja na wenzake wa JOHN HOPSKN UNIVERSITY, wamegundua kuwa matumizi ya ARV yanaweza mfanya mtu mwenye HIV anayetumia ARV kusex na mtu asiye na HIV na asipate HIV.
this means what? you can use ARV then ukaply safe kbsa.
NOTE.Authorities for this is under author custody.

pia maprof hao wamegundua kinga nyingne apart from ARV mpo hapoo wapenda ..
Pia imegundulika kwamba ukinywa dawa ya ngao hata ukilala bila net ukaumwa na mbu mwaka mzima hutapata malaria.
 
...natamani hao ndugu wafanye "mchezo mbaya" na waathirika wanaotumia ARV ndio waje kutoa ushuhuda kuwa hawajaambukizwa.
 
weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili

ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua.
kwa hiyo ukijamiiana na mwenye virusi akiwa kwenye dawa za ARV INTEGEMEWA KWAMBA WALE VIRUSI WANAKUWA WACHCHE SANA NA WAKATI MWINGINE HAWAPO KABISA KWENYE MZUNGUKO LAKINI WANAKUWEPO KWENYE DNA YA CHEMBE HAI HIVYO KINGA IKITETERAKA KWA SABABU YOYOTE KAMA KUACHA DAWA, KUPATA MAGONWA MENGINE WANAANZA KUZALIANA TENA NA WANAANZA KUWA KWENYE MZUNGUKO WA DAMU.

Hao Mprof wako sawa lakini haimaanishi kua uko salama kwa sababau ni pmaka apimwe mtu kiasi cha virusi kilicho kwenye mzunguko wa damu ndo ujue yuko salama au la .

sanateni
nawasilisha
doctor
Hapo kwenye nyekundu; Ninavyofahamu ARV's zinazuia virusi visiendelee kuzaana, na kuimarisha mfumo wa kinga wa mwili kuzuia vile vilvyopo katika mwili kuleta athari. Km ulivyoeleza kwenye bluu iwapo mwenye vvu ataacha dawa virusi vitaendelea kuzaana na kuishinda kinga ya mwili ndipo hushambuliwa na magonjwa nyemelezi.

Iwapo ARV's zinauwa VVU kusingekuwa nahaja ya kutafuta kinga maana dawa ipo ,na kwanini iuwe baadhi ya vvu na siyo wote. Tupe source ya maelezo ya nyekundu.
 
Binafsi simpingi maana nimewaona watu wa kawaida ambao walifiwa waume zao tangu 1993 mpaka leo na wanishi na kuendelea kugawa uroda kama kawaida . Nahisi kuna kitu bado kimejificha kuhusu ukimwi
 
Kiukweli mi sidanganyiki napiga mzigo na kodomu ya bati
 
Back
Top Bottom