kuna taarifa za kusikitisha kwa watumiaji condom'condom zote zilizoingizwa chini ya kampuni ya katibu mkuu wizara ya afya na mganga mkuu hazifai kwa kuwa zina matundu makubwa mno na zipo chini ya kiwango virusi vya ukimwi vinapenya bila tatizo lolote'vile vile condom nyingi ni ndogo mno zimetengezwa kwa watu wenye machine ndogo kama wakorea na wachina'lakini zililetwa kwetu kwa sababu ya ufisadi wa huyu mama na mganga mkuu!
'ina maana watanzania tutakufa kwa wingi sana kutokana na tamaa za hawa viongozi waliopewa hili jukumu''ee mwenyenzi mungu tunusuru na hili
kuna taarifa za kusikitisha kwa watumiaji condom'condom zote zilizoingizwa chini ya kampuni ya katibu mkuu wizara ya afya na mganga mkuu hazifai kwa kuwa zina matundu makubwa mno(umefanyia wapi huo utafiti--tujuze) na zipo chini ya kiwango virusi vya ukimwi vinapenya bila tatizo lolote'vile(hapa TBS mpoooo?? ) vile condom nyingi ni ndogo mno zimetengezwa kwa watu wenye machine ndogo kama wakorea na wachina'lakini zililetwa kwetu kwa sababu ya ufisadi wa huyu mama na mganga mkuu!
'ina maana watanzania tutakufa kwa wingi sana kutokana na tamaa (hazijaanza leo kwa viongozi wetu) za hawa viongozi waliopewa hili jukumu''ee mwenyenzi mungu tunusuru(mungu hawezi kumuonea mtu huruma wakati viongozi tunawalea kama mayatima ) na hili
kuna taarifa za kusikitisha kwa watumiaji condom'condom zote zilizoingizwa chini ya kampuni ya katibu mkuu wizara ya afya na mganga mkuu hazifai kwa kuwa zina matundu makubwa mno na zipo chini ya kiwango virusi vya ukimwi vinapenya bila tatizo lolote'vile vile condom nyingi ni ndogo mno zimetengezwa kwa watu wenye machine ndogo kama wakorea na wachina'lakini zililetwa kwetu kwa sababu ya ufisadi wa huyu mama na mganga mkuu!
'ina maana watanzania tutakufa kwa wingi sana kutokana na tamaa za hawa viongozi waliopewa hili jukumu''ee mwenyenzi mungu tunusuru na hili
kuna taarifa za kusikitisha kwa watumiaji condom'condom zote zilizoingizwa chini ya kampuni ya katibu mkuu wizara ya afya na mganga mkuu hazifai kwa kuwa zina matundu makubwa mno na zipo chini ya kiwango virusi vya ukimwi vinapenya bila tatizo lolote'vile vile condom nyingi ni ndogo mno zimetengezwa kwa watu wenye machine ndogo kama wakorea na wachina'lakini zililetwa kwetu kwa sababu ya ufisadi wa huyu mama na mganga mkuu!
'ina maana watanzania tutakufa kwa wingi sana kutokana na tamaa za hawa viongozi waliopewa hili jukumu''ee mwenyenzi mungu tunusuru na hili
watakomaje??tukiwaambia dumu na mpenzi mmoja mnatuona "mapopompo" sasa kazi kwenu!kudadadeki.kuna jamaa mmoja hivi yeye alikuwa anaona condoms ndio kimbilio lake asijue zina matundu.mimi mwenyewe ningekuwa na kiwanda ningetengeneza zenye matundu.maskini yule jamaa loh!atakuwa amepata ukimwi!
R.I.P MR..........!
zungumzieni vyandarua vyenye matundu makubwa mbu wanapita watakavyo. Na vinatengenezwa arusha, halafu eti navyo vina nembo ya tbs!