watakomaje??tukiwaambia dumu na mpenzi mmoja mnatuona "mapopompo" sasa kazi kwenu!kudadadeki.kuna jamaa mmoja hivi yeye alikuwa anaona condoms ndio kimbilio lake asijue zina matundu.mimi mwenyewe ningekuwa na kiwanda ningetengeneza zenye matundu.maskini yule jamaa loh!atakuwa amepata ukimwi!
R.I.P MR..........!
zungumzieni vyandarua vyenye matundu makubwa mbu wanapita watakavyo. Na vinatengenezwa arusha, halafu eti navyo vina nembo ya tbs!
Acheni uasherati, haumpendezi mungu.
Taarifa za kutisha kwamba kondomu feki millioni mia moja zimeingia inchi na kutumika tangia mwaka jana, serikali ya ccm imeshindwa kusimamia watendaji wake sasa wanawaua watanzania bila huruma,
Nakumbuka moja ya kauli za Dr slaa kwenye uzinduzi wa kampeini za urais pale jangwani"tukikubali ccm kuongoza nchi hii kwa miaka mitano mingine tutaua nchi"