Condom zilizoingizwa nchini Hazifai Kukinga ukimwi

Condom zilizoingizwa nchini Hazifai Kukinga ukimwi

watakomaje??tukiwaambia dumu na mpenzi mmoja mnatuona "mapopompo" sasa kazi kwenu!kudadadeki.kuna jamaa mmoja hivi yeye alikuwa anaona condoms ndio kimbilio lake asijue zina matundu.mimi mwenyewe ningekuwa na kiwanda ningetengeneza zenye matundu.maskini yule jamaa loh!atakuwa amepata ukimwi!
R.I.P MR..........!

mhhhh wewe unauhakika gani ulienae sie miongoni mwa watumiaj wazuri wa kondom?hata ukacheka wenzio?
 
Wanaokanusha wote ni wahusika wa hili jambo na mimi namkubalia aliyeleta huu mjadala kwani hao jamaa wana roho ya mauaji kabisa ndo maana madakitari wakawagomea.
 
Mimi naona mapigo ya moyo yameshuka. Mods naombeni muiondoe hii thread kwani inaweza kusababisha mauaji ya kimbari.
 
hayaaaaa! Blandina Nyoni kani dedisha nilikuwa mteja mzuri wa vifanyio
 
zungumzieni vyandarua vyenye matundu makubwa mbu wanapita watakavyo. Na vinatengenezwa arusha, halafu eti navyo vina nembo ya tbs!

Hao kwako si mbu, ni viroboto na papasi, umehakikisha kupiga dawa ya viroboto na papasi?
 
Ni kweli kondomu feki zimeingia,jana zitto kabwe kasema kwenye kipindi cha jahazi wakati wanajadili sakata la TBS
 
Na bado,wapenda ngono mtakwisha,ridhika na mmoja huwezi kinondoni inawasubiri kabla ya siku zenu
 
Taarifa za kutisha kwamba kondomu feki millioni mia moja zimeingia inchi na kutumika tangia mwaka jana, serikali ya ccm imeshindwa kusimamia watendaji wake sasa wanawaua watanzania bila huruma,

Nakumbuka moja ya kauli za Dr slaa kwenye uzinduzi wa kampeini za urais pale jangwani"tukikubali ccm kuongoza nchi hii kwa miaka mitano mingine tutaua nchi"
 
sijui ni kondomu zipi hizo...duh! mtu unatumia mfuko kumbe hamna kinga! ama kweli tz ni sehemu hatari ya kuishi.
 
Taarifa za kutisha kwamba kondomu feki millioni mia moja zimeingia inchi na kutumika tangia mwaka jana, serikali ya ccm imeshindwa kusimamia watendaji wake sasa wanawaua watanzania bila huruma,

Nakumbuka moja ya kauli za Dr slaa kwenye uzinduzi wa kampeini za urais pale jangwani"tukikubali ccm kuongoza nchi hii kwa miaka mitano mingine tutaua nchi"

Kama habari hii inaukweli, bsi hii ni mojawapo ya kashfa kubwa sana ya TBS na Wizara ya Afya isiyostahili kuondoka hivi hivi bila watu kuwajibishwa. nakumbuka mstari fulani kwenye moja ya maandiko matakatifu unasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Nadhani kwa hapa Tanzania ni kinyume, kwani maarifa yapo lakini uzembe, ufisadi na 10% ndio vinatuangamiza
 
huyo ni wakunyongwa tu na hao watumishi wake kama banza nae noma katika kupitisha magali mabovu.TBS na TUME YA USHINDANI ni vyombo vya kifisadi na mauwaji ya wananchi.ukitaka deal yoyote utafanikisha...naukiona kinasanuka basi ukukata sawasawa.hapa unaweza fanya balaa lolote mkwanja mbele bwana...
 
ngoja tusubiri concrete evidence hapa kutoka kwa waliozitumia
 
Bado mnawaamini hawa wahuni wa TBS? Kazi imeshawashinda ofisi zimebakia kufanya ufisadi wa kutafuna kodi zetu
 
ohoo, hili ni pigo kwa watumia kondomu ili kujilinda na ukimwi. Ikitajwa aina ya hizo kondomu kunaweza kutokea maafa.
 
Kumbe Wakatoliki walizikataa walijua kuwa hzisaidii,oooh Mungu wangu kumbe hatuponi tena Maskini,Heri yao mahanithi
 
Back
Top Bottom