Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

ila sitakuja sahau nilipopata tego kwa mke wa mtu toto la kitanga ilo
 
Kutembea na mke wa mtu au sio mke wa mtu haina tofauti yeyote.Tendo la sex ni starehe wanaume wanapenda kustarehe na wanawake tofauti kufurahisha nafsi zao na wanawake nao vivyo hivyo wanapenda kubadilisha wanaume kwa sababu tu ya kufurahisha nafsi zao.Tendo la sex ni buradani bora kuliko buradani ya aina yeyote.Ndio maana michepuko haiwezi kwisha kwa jinsi yeyote ile.
 
Mkuu ni mtihani mzito sana, Mimi mwenyewe kuna mama mke wa mtu ananisumbua sana kils siku anang'ang'ania kuja kwangu na akinipigia anamponda sana mme wake licha ya kumzalisha watoto watatu. Leo tu katuma meseji na kanipigia mara kibao namchimba biti lakini wapi. Hapa na mpango nibadilishe namba.
 
Dont allow your wife to tell another man her problem ...because the shoulder to cry on can became a dick to ride on
NB: kizungu kilikuja na meli
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
Kuna vitu kuviandika tu humu ni aibu na fedheha. Ujana hauna aibu, tunafanya mambo at the end ni majuto, sidhani kama yupo mtu anajivunia kulala wake/waume za watu.

Thank God there's forgiveness.
 
C unajua lkn wanachofanyiwa wenzako wanapokamatwa na wake za watu..... We jiandae na ww kupakatwa
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…