Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Mkuu naona unachanganya harufu ya K ya kawaida na ile ya bleed. Jaribu siku moja kukutana na K siku ya period halafu usikilize harufu yake...chibu perfume utazimaliza lkn wapi
ndo maana nimesema watu kama ninyi sio wanaume. kwataarifa yako nilishafanya mapenzi na wanawake wakiwa bleed hadi uboooooo unalowa damu chapachapa. sasa sijui unaongea nini? kama hamna hisia za kiume mtuachie mademu tuwe tunawala sisi wenzenu tusio na kinyaa.
 
Hili jambo halina athar kiafya?Hasa kwa Mwanaume?
 
Hili jambo halina athar kiafya?Hasa kwa Mwanaume?
mimi sikuathirika. ila kiimani ni kama najisi. izo **** unazofikiri zinanuka, mwambie mwanamke aoshe kwa maji yeyote hapa duniani wiki nzima, kwa sabuni yeyote, alafu wewe mlainishe, akilainika akaanza kutoa utomvu, chovya kidole weka puani uone kama hainuki...mnuko upo palepale na kwa sisi wanaume ule mnuko ndio radha ya **** yenyewe.
 
vp huyo mama alikua hakidhi vigezo kwani alikua hana shimo? maana hicho ndo kilikua kigezo pekee
 
vp huyo mama alikua hakidhi vigezo kwani alikua hana shimo? maana hicho ndo kilikua kigezo pekee
Pengine Niko tofauti,lakini Mimi kulala na mwanamke ni mpaka anivutie,au awe na vigezo vyangu.Yeye hakuwa navyo.
vp huyo mama alikua hakidhi vigezo kwani alikua hana shimo? maana hicho ndo kilikua kigezo pekee
 
mkuu nisamehe mie binadamu, huyu mtu kani provoke nikalusha masumu hadi kupitiliza.... 🙁 anyway nilikua nachangamsha tuh humu sikua serious kwenye kutusi na sijaona tusi ila yeye kani tusii
huu ndiyo uhalisia wako mkuu
 
kote kote tu! kusema ukweli baada ya miaka kadhaa katika ndoa, naturally, mtachokana. Yaani hauko bothered kabisa na mwezako ili mradi hajalala njaa, hajatembea mchafu, watoto wanasoma ila vingine mnakuta mmeboreka, sura zile zile, same conversations, kitandani vile vile, nahisi wote mnakuwa mnajisikia hivo ila nani aanze kusema sasa na ukisema alafu? basi mpango wa kando anahusika one way or another, ila ukipatikana na ushahidi kwisha habari yake hata kama wote mnajuana mna cheat. lol! ila nasikia nguvu ya kukimbizana na mpango wa kando zikiisha, na umri za 50+ zikifika mapenzi yanarudi speed 120 kama ujana wenu vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…