Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Mi namgongaga mke wa askari polisi mmoja hivi wanaishi kota zao hapa Dodoma
Jamaa huwa akiwa shift za usiku au akiwa safari demu ananipigia simu usiku naenda nakula zigo mpaka hamu zikimuisha naondoka, ila kuna siku kidogo jamaa atufume alirudi ghafla usiku kuna kitu alikuja kuchukua ile anagonga dirishani ndo nimemaliza kupiga kimoja ikabidi demu anifiche nyuma ya mlango ile jamaa anaingia ndani tu mie nikasepa ila jamaa hakustukia
 
Bunduki pwaaaa! Ulikula vitu vya watu, bunduki ikalia,shaba yaingia mwilini mwako waona uchungu.
Leo uko taabani, hospital umelazwa.Marijan Rajab.
 
Daah.. Hii imenivutia sana.
 
NILIMTAFUNA MKE WA MTU (ILA ALINIFICHA NA KAMA MNAVYOJUA, NDOA ZA WAISLAMU HAWAVISHANI PETE).. MUMEWE ALIKUWA DAR.. YEYE MKOANI.. ALIKUWA MWALIMU.. BASI AKANIZOEA SANA NA KUNIKARIBISHA KWAKE, ASEEEH.. NIMEFKA KWAKE MTOTO WA KIKE AMEVAA KIHASARA MNO, NIKAANDALIWA MAZIWA YA BARIDI.. ILIKWENDA IKARUDI, KUSTUKIA.. TUPO SANTIAGO BERNABEU TUNALISAKATA KABUMBU, NILIKUJA KUGUNDUA NI MKE WA MTU BAADA YA DEMU KUWA NA MIMBA YANGU, MAANA NILIKUWA IDLE NASUBR MATOKEO YA F6.. KWA HYO ALIKUWA ANACHEZEA KICHAPO KILA SKU... ILE MIMBA ALITAKA ANIZALIE MTOTO LAKN BAHAT MBYA AU NZURI IKAHARIBIKA, NLIVYOANZA CHUO NIKABADILI NAMBA.. MWAKA JUZ NIKAKUTANA NAYE TENA ETI ANATAKA TENA?

WANAUME WENZANGU, NDOA ZA MBALI HESABU MAUMIVU.
 
Ndo maana DISIII amemshaur mumewe aoe NKE mwingine
 
Eti sehem kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsaupport yule Dada.
 
Mmenikumbusha engineer wangu pale mbeya (RIP), alikuwa ananipa hela ya maana miaka ile;
Miaka hii nipo na dogo mmoja mume wa mtu, tulikokutana najuwa mwenyewe.
Mamndenyi oyeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…