Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Kuna dada mmoja nilikutana naye kkoo....ktk kaofisi furani hiv...alipomaliza kunifanyia kazi yangu nikamshukuru na nikamuomba no yake ili nimtumie asante....baadae nikamtumia 5000.....siku ya 2 nikamtumia 5000 nikafanya hivyo wiki 2....mfululizo....basi nikabandua mtt yule....nikadumu naye mwaka....akaja kuolewa na jamaa mwingine..baada ya saba akaniletea na baada ya wiki tena .....ila nikaja kuacha baada ya mumewe kustukia.......
 
ni mpumbavu sana huyo mama ila nyege za kike ni balaaa
 
kwa hiyo umemwacha na damu yako? basi mtafute ulee mwanao
 
Kumbuka ukizin na mke wa mwenzio au mume wa mwenzio kila itakavyokuwa na wako ataziniwa tu vizur ni kuacha zinaa
 
Sister???
 
Ulivaa kondom?
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…