Kibongo one
Senior Member
- Dec 17, 2016
- 104
- 104
Kuna dada mmoja nilikutana naye kkoo....ktk kaofisi furani hiv...alipomaliza kunifanyia kazi yangu nikamshukuru na nikamuomba no yake ili nimtumie asante....baadae nikamtumia 5000.....siku ya 2 nikamtumia 5000 nikafanya hivyo wiki 2....mfululizo....basi nikabandua mtt yule....nikadumu naye mwaka....akaja kuolewa na jamaa mwingine..baada ya saba akaniletea na baada ya wiki tena .....ila nikaja kuacha baada ya mumewe kustukia.......