Una taabu wewe [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120]zikifika nane niite
Kuna watu wanastahili kunyongwa hadharani.Bora hiyo Haya Maisha unaweza tembea na Mke na watoto wake, kuna siku niliandaliwa birthday na kademu, Ngoma sijakaa sawa naona Mke wa mtu anaingia na zawadi ambaye Nilikuwa natoka nae kumbe ni Mama wa Yule demu wangu ,Mambo ya makiss na mabusu demu akauliza unamjua nikisema ni Rafiki tu, Baadae kilichotokea niliamua kuendelea na Mama mtu
haya .Una taabu wewe [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120]
Haya bana
Wewe mjamaa mkatili sana..[emoji35] [emoji35]Kuna dada nilimtokea wakat nikiwa mwaka wa pili undergraduate akawa amekataa...poa na mm nikamvungia.Baadae akajaolewa na kupata mtoto mmoja mimi mikawa na kumsahau nishamsahau.Akamtafuta mdogo wangu akitaka my numbers so alipopata akanipigia simu na kumikumbusha yy ni nani .After kumkumbuka akadai anataka aje anitembelee kazini kwangu..of which ni kama 20 kms kutoka kwake.Mimi nikaona kwa vile ni salamu tuu poa.Akaja hiyo siku akaanza kunambia bwana ake hashirikiani nae kimapenzi na ana zaid ya mwezi hajaduu na mumewe!! I was shocked bila hiyana nikajikuta nimevunja amri tena bila ndom...daah on the very first day baada ya kuduu ikaja kugundulika ana mimba na yupo kwenye ndoa!! Afanyeje amwache jamaa aje kwangu au asingizie mimba wakat hajaduu na jamaa miezi kadhaa..!! God forgive me and forgive her but what to say is that ashaachana na jamaa na mm laini ya simu nimevunja na eneo la kazi nimehama!! So disgusting and horrible...
heeee!!mbona nakutaka???[emoji32]Sijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili
Teh teh teh umechelewa babu weweheeee!!mbona nakutaka???[emoji32]
[emoji24] [emoji24] [emoji24]Teh teh teh umechelewa babu wewe
Hapo kuanzia Yaarab ndio ulikoonyesha upo serious!Sijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili
Leo naandika notice kwa wapangaji wangu wooteUmenifanya nmedindisha...
Kuna mke wa mpangaji mwenzangu hapa, ni mama mkubwa ananizidi miaka kama 22 hivi....
Eti huwa anasema "tafuta sehemu tupige story ila tofauti na humo kwako"
Jamani huyu si anataka nimkamue huyu?? Kesho kutwa (Public holiday) lazima nimgonge..
Wanyama Hotel inahusika sana...
Lazima nimshirikishe mungu na ndo ukwel wenyewe huo tupo tofauti sana binadamHapo kuanzia Yaarab ndio ulikoonyesha upo serious!
Tafadhari ndugu usifanye hivyo [emoji12] [emoji12] [emoji12]Leo naandika notice kwa wapangaji wangu woote
Teh teh teh umechelewa babu wewe
Ni kweli usemacho mana Mapambano dhidi ya ibilisi yanahitaji msaada wa M. MunguLazima nimshirikishe mungu na ndo ukwel wenyewe huo tupo tofauti sana binadam
We jamaa ni brand meneja wa dume[emoji767] ,ruff ryder[emoji767],durex[emoji767] au salama[emoji767]?Ulitumia kinga?
Ulikuwa na kondom?
Ulivaa kondom?
Ukimalizia na haya matatu yaliyobakia tu,utaambiwa chagua mlango gani Wa pepo uingie..Sijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili
Shukrani ukhuty allah azid kunip nguvu Insha'AllahUkimalizia na haya matatu yaliyobakia tu,utaambiwa chagua mlango gani Wa pepo uingie..
1.Sala tano
2.Kufunga Ramadhani
3.KUMTII mumeo.
MaashAllah!.
Wachaa uhuni wakimaandishiinkiwa kdato cha nne 2010 kuna mwalm alkua ananiamin sana, alkua anan2ma sehem mbal2, alnichukulia kama mwanae japo hakuwa mkubwa kiumr. mkewe alianza kunieleza matatzo ya ticha na kuniomba nmwambie tcha aache k2 ambacho naamin hamna ambae angeweza hapa jf, cku 1 2lienda shamba kuvuna mahnd mim tcha na mkewe, tcha akaitwa gafla na hedmasta akatuacha. mkewe akasema leo n leo tukmalza nakupa zawad na akanpa uko uko shamban. nsameh mung, nsameh mwalim wangu