Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaaaaaa naona uliwakilisha michepuko vizurinilikutana nae kwenye media fulani nikawa naumwa akanijali kuzidi bf wangu basi nilivyopona akanialika maeneo tukapiga glass kadhaa za wine nikarudi home ikawa mazoea tunatoka we have funny together na kunimwagia mapesa hapa kwa kweli aliniteka baada ya muda tukawa sehemu tulivu tunakula wine kama kawa akasogeza lips ndugu yangu nakaataaje wakati nishakula kama M fulani hivi nikatumia u fundi wangu wote kwenye kukiss hallo alidata na alikuwa hajui kukiss mshamba. na mi sema najua nilisisitiza ajali familia yake tu huku na mi anipe pesa muhimu .. nilimwacha alivyompa mkewe mimba sitaki dhambi mimi ya kutesa malaika wa bwana hasa wakiwa tumboni mwa mama zao.... mchepuko siyo dili baki njia kuu
Samahani nimetoa siri yetu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Tabia mbaya hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Samahani nimetoa siri yetu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
kwa mda tuahaaaaaa naona uliwakilisha michepuko vizuri
Allah atufanyie wepesi pamoja namiSijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili
mimi mume wa mtu papuchi huwa inaziba kabisa sinaga hamu naokwa mda tu
Amin Insha'Allah [emoji120]Allah atufanyie wepesi pamoja nami
ndugu yangu nakaataaje wakati nishakula kama M fulani hivi nikatumia u fundi wangu wote kwenye kukiss hallo alidata na alikuwa hajui kukiss mshamba.
hongera usitoe kabisamimi mume wa mtu papuchi huwa inaziba kabisa sinaga hamu nao
huyo jamaa alikuwaga mtamu lakini au ulijitoa sadaka bure?hongera usitoe kabisa
pesa kwanza we niliumwa nikapelekwa hospItal moja hivi akanipa na laki mbili ya juice na kila siku anakuja kuniona napewa laki kadhaa baba kikwete tutakumis sana sababu najua hakuwa mshahara wake bali ni dili .. nilienjoy kwa kweliConfession yako ningeikataa kama isingekuwa inahusu pesa.
Na kitarudi kwa ndegeDont allow your wife to tell another man her problem ...because the shoulder to cry on can became a dick to ride on
NB: kizungu kilikuja na meli
dahnilikutana nae kwenye media fulani nikawa naumwa akanijali kuzidi bf wangu basi nilivyopona akanialika maeneo tukapiga glass kadhaa za wine nikarudi home ikawa mazoea tunatoka we have funny together na kunimwagia mapesa hapa kwa kweli aliniteka baada ya muda tukawa sehemu tulivu tunakula wine kama kawa akasogeza lips ndugu yangu nakaataaje wakati nishakula kama M fulani hivi nikatumia u fundi wangu wote kwenye kukiss hallo alidata na alikuwa hajui kukiss mshamba. na mi sema najua nilisisitiza ajali familia yake tu huku na mi anipe pesa muhimu .. nilimwacha alivyompa mkewe mimba sitaki dhambi mimi ya kutesa malaika wa bwana hasa wakiwa tumboni mwa mama zao.... mchepuko siyo dili baki njia kuu
wewe ni aina ya MKE ninayemtafutaAmin Insha'Allah [emoji120]
me aliniboa tokea mwanzo hata kiss hajui wahi utamu alikuwa hana ila pesa yake ndiyo ilikuwa tamuhuyo jamaa alikuwaga mtamu lakini au ulijitoa sadaka bure?