Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Mimi sichagui ccm namchagua makufuli ndio atake nifanyia kazi maana naona majibu ya wengi eti tunataka kuingoa ccm hizo ni chuki za wa kaskazini sitaki kusikia mngeniambia tunataka kiongozi mahiri tena sio wasataafu chama chenu cha mtei kaeni nacho
Hizi pesa zinazochezewa si zingetumika kujenga maabara na kuacha kuwabana maskini wasio na kipato? Hivi madaktari wa internship wamelipwa au pesa yao ndo inachezewa? Na bado tutasikia mengi. Zile bilioni 150 za kuiangusha ukawa imetumika bilioni 20. Kweli hawa wanaotafuta madaraka kwa pesa wanaendelea kutufaa? Si ndo baba wa taifa alikataa? Jamani tuwakatae kwenye sanduku la kura.
Yes, na tushajuaHuu Ñî mpango kabambe uliandaliwa kwa ustadi mkubwa.
Hehehe na vile ukichukulia baba mtoto kazi pekee aliyonayo ni kukata mauno kwa Dayadomo...
Ndio maana Aunt Ezekiel kutwa kuchwa anashinda Kwenye mtandao wa Twitter, akaunt yenyewe kafungua juzi