Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Mimi sichagui ccm namchagua makufuli ndio atake nifanyia kazi maana naona majibu ya wengi eti tunataka kuingoa ccm hizo ni chuki za wa kaskazini sitaki kusikia mngeniambia tunataka kiongozi mahiri tena sio wasataafu chama chenu cha mtei kaeni nacho
MI wa kusini lkn ccm sitaki ht kusikia.
We huwezi kusema unamchagua magufuli ukiacha ccm ni uongo