Confirmed: Huu ndio ukweli sababu ya Ray kigosi na Aunt Ezekiel kutoka UKAWA

Confirmed: Huu ndio ukweli sababu ya Ray kigosi na Aunt Ezekiel kutoka UKAWA

Mimi sichagui ccm namchagua makufuli ndio atake nifanyia kazi maana naona majibu ya wengi eti tunataka kuingoa ccm hizo ni chuki za wa kaskazini sitaki kusikia mngeniambia tunataka kiongozi mahiri tena sio wasataafu chama chenu cha mtei kaeni nacho

MI wa kusini lkn ccm sitaki ht kusikia.

We huwezi kusema unamchagua magufuli ukiacha ccm ni uongo
 
Hizi pesa zinazochezewa si zingetumika kujenga maabara na kuacha kuwabana maskini wasio na kipato? Hivi madaktari wa internship wamelipwa au pesa yao ndo inachezewa? Na bado tutasikia mengi. Zile bilioni 150 za kuiangusha ukawa imetumika bilioni 20. Kweli hawa wanaotafuta madaraka kwa pesa wanaendelea kutufaa? Si ndo baba wa taifa alikataa? Jamani tuwakatae kwenye sanduku la kura.

Ndo uone jinsi gani wasivyo na akili ccm
 
1zwypnd.jpg
[/IMG]
 
Tafakuri: Hivi kwa mtu mwenye akili timamu na anayeona hali halisi ya nchi atafunga macho kweli kutochagua mabadiriko kisa eti Ray na Aunt? Both of them, hawana mchango wowote katika jamii na kuropoka kwao kunaonyesha jinsi walivyo na akili finyu. CCM inahaha kutaka kuchukua nchi kihasara kwani wanajuwa Ukawa ikikamata hii nchi watayataja madudu yao.
 
Back
Top Bottom