Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Wakafie mbele huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Momentum iko pale pale tena imeongezeka na sasa hivi kampeni chini kwa chini
Kubali tu kuwa mzee hawezi kutembea..ingawa mimi ni muamini wa Magufuli, lakini hili suala kumpelekesha Lowassa na kumdhalilisha linanisumbua sana...mnamlazimisha yule mzee ilimradi mpate mnachotaka...mnadiriki hata kusema "ni heri punda afe lakini mzigo ufike!!"...unyama huu unanikosesha usingiziMomentum iko pale pale tena imeongezeka na sasa hivi kampeni chini kwa chini

Kwahiyo ulitaka wapewe 10bn kama Dj?50Mil? hata nyumba hujengi
Mnajiliwaza maana mmekaa na decided voters hamkai na undecided voters na akina mama. Mnavyowacheka na kupuuza akina Wema na Aunty Ezekiel mtazidi kupotea. Mnafikiri CCM wamekurupuka? Ni sehemu ya mkakati wao mkubwa.
Kuishinda CCM kunahitaji mikakati mathubuti, utashi mkubwa na input kubwa ya watu neutral na wenye upeo. Wale wachache walikuwepo wameondoka na mnawatukana. Sasa hata wale ambao hawajui siasa wanawaona hovyo.
Mwaka huu mmerudisha harakati za mabadiliko na ujuha wenu. Ngoja tuone kama Zitto ataweza kutupa dira hapo mbele wana mabadiliko wa kweli siyo nyie opportunists wa leo!
Hata Dar unajenga, hii ndio Jf ndugu usishangae watu wako fake sana.50M ndogo?
50Mil? hata nyumba hujengi
Duuuh kwahiyo bilioni moja imetumika kuwanunua hao watu wawili tu! .
Leo nimezungumza na waziri mmoja kijana sitomtaja jina maana anajua mi niko chama chake na mimi ni mchangiaji mzuri .
Ni kweli wamelipwa million 50 kila mmoja na ilo deal la ushawishi lilifanywa na Wema na Steve.
Lakini hiyo pesa si kujitoa tu Ukawa bali pia ni mkataba wa kuifanyia kampeni ccm pia.Si kutoka tu.
Kampeni zitakuwa kwenye mitandao ya kijamii,kwenye vyombo vya habari na majukwaa huo ndio mkataba ulivyo.
Na chanzo kinasema walivyotajiwa million 50 wala hawakutafakari mara 2 moja kwa moja walikubali maana wanasema sanaa nayo inazingua sasa sio kama alivyokuwa Kanumba walikuwa wanapata pesa na.mwamko ulikuwa mkubwa wa watu kununua kazi zao,sasa hivi watu eti wameacha kununua wanakodi vibandani na kubani.
Chanzo pia kinasema wamejaribu kumshawishi jackline lakin imeshindikana kabisa.
Ni hayo
....... maana wanasema sanaa nayo inazingua sasa sio kama alivyokuwa Kanumba walikuwa wanapata pesa na.mwamko ulikuwa mkubwa wa watu kununua kazi zao,sasa hivi watu eti wameacha kununua wanakodi vibandani na kubani.
50Mil? hata nyumba hujengi
Duuuh kwahiyo bilioni moja imetumika kuwanunua hao watu wawili tu! .
Kumbe kamanda haujuı hata bilioni 1 ni milioni ngapı?Dah, hawa ndiyo wafuası wa Luwasa.