Elections 2010 CONFIRMED: Iringa mjini CHADEMA (Peter Msigwa) yatwaa ubunge

Elections 2010 CONFIRMED: Iringa mjini CHADEMA (Peter Msigwa) yatwaa ubunge

Iringa ni CCM damu. (Majid Mjengwa et la...). Lile lilikuwa ni jimbo la Mwakalebela. Baada ya mazee mbumbumbu ya CCM kudhani wananchi ni wa kuburuzwa tu na kumtosa Mwakalebela, wananchi sasa wameamua kupiga kura za hasira.

Inatosha sana tu. Mchungaji atawabana kimtindo wasilete matumizi ya ajabu

Walimchakachua Mwakalebela sasa wameiona joto ya jiwe
 
:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:CCM!
 
Aisee nafanya kazi mpaka Alhamisi tu. Ijumaa nitakuwa OFF tayari kwa kulipa kodi kupitia TBL....kwani sasa nina uhakika kodi yangu haitachakachuriwa !

Hapo kulipa kodi kupitia TBL i will support you, miye kuanzia jioni hii ni kuendeleza.
 
Your kodi 'll be safe with Dr. Slaa reign!
 
Huyu jamaa ni wale wale wa kujipendekeza kwa chama cha mafisadi hafai kabisa katika jamii ya Tanzania ya leo
 
Huyu jamaa ni wale wale wa kujipendekeza kwa chama cha mafisadi hafai kabisa katika jamii ya Tanzania ya leo
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh, mambo yameiva, aiye na mwana aazime!
 
Na Francis Godwin,Iringa



MATOKEO ya awali katika jimbo la Iringa mjini, Njombe Kaskazini na Njombe Magharibi yameanza kutoka jana usiku huku vituo mbali mbali wagombea wa ubunge na urais wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) wakionekana kung’ara zaidi .


Katika jimbo la Njombe Magharibi mgombea ubunge wa jimbo hilo Thomas Nyimbo zaidi ya vituo 10 vya kata ya Ilembula ,Mdandu na Saja ameonyesha kufanya vizuri ukilinganisha na mgombea wa CCM Gyerson Lwenge kama ilivyo katika jimbo la Njombe Kaskazin ambako mgombea wa Chadema Alatanga Nyagawa akionyesha kuvutaka shati mgombe wa CCM Deo Sanga katika maeneo ya Lupembe ,Wangama na baadhi ya maeneo ya Makambako ambako hata hivyo kata ya mji mwema uchaguzi wa udiwani haujapata kufanyika baada ya karatasi ya kupigia kura kukosewa kwa zile za Rukwa kuja kata hiyo na kata hiyo kwenda Rukwa.



Katika jimbo la Iringa mjini mbali ya kujitokeza kasoro kadhaa kwa baadhi ya wana CCM katika kata ya Nduli kushindwa kupiga kkura zao baada ya kukosa majina yao katika daftari la wapiga kura kama ilivyo kituo cha stendi kuu ya mabasi ya mikoani ambako idadi kubwa ya wana Chadema walizuiliwa kupiga kura kwa matatizo kama hayo ,bado Chadema imeonyesha kufanya vizuri katika uchaguzi huo.



Matokeo ya awali katika jimbo la Iringa mjini ambayo yalikuwa yamebandikwa vituoni hadi jana majira ya saa 3 usiku ni pamoja na kituo cha Stendi kuu ambako mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa ( 33) na Prof.Ibrahim Lipumba (1).



Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36) ,mgombea wa Chadema,Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe ( 1)



Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Dk Kikwete ( 58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1),wakati nafasi ya ubunge mgombea wa CCM Mbega ( 39)Msigwa wa Chadema( 90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi ( 5)



Kituo cha Umati namba moja Kikwete ( 98) Dk Slaa 108 Mziray (1) ubunge Mbega ( 82) Msigwa ( 120) Mwakingwe ( 5),Kituo namba 2 umati Kikwete (97) Dk Slaa( 98)Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega ( 73),Msigwa (114) Mwakingwe(8) na kituo cha umati namba 3 Kikwete ( 64) Dk Slaa(57)Prof LIpumba (1) ,ubunge CCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).



Kituo cha FFU namba 1 Urais CCM(47) Chadema( 63) huku ubunge CCM(36) Chadema(68),NCCR-Mageuzi (3) na kituo cha FFU namba 2 Urais CCM( 64) Chadema( 57) na CUF( 1), ubunge CCM(58)Chadema( 64) na NCCR-Mageuzi (3).



Kituo cha IDYDC namba 1 nafasi ya Urais CCM( 62) Chadema(75) na ubunge CCM ( 46) Chadema(84) na NCCR-mageuzi (5) na kituo cha IDYDC namba 2 Urais CCM (82) Chadema(68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM( 67) Chadema(78) na NCCR mageuzi (7).



Kituo cha THB Urais CCM (97) Chadema(138) CUF( 3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1) na kituo cha Zimamoto namba 1 Urais CCM(84)Chadema(94) na CUF(2) kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema(84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8) kituo cha soko la Kitanzini namba 1 Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema(68) na CUF(1),ubunge CCM( 70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais (66) Chadema( 77) na CUF( 1) ,ubunge CCM( 49) Chadema(96) NCCR-Mageuzi (1), kituo namba mbili ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni Urais CCM (81) Chadema(81) ,CUF(2) UPDP(1)Ubunge CCM(78)Chadema(108) na NCCR-mageuzi (5)
Hata hivyo matokeo hayo baadhi ya vituo hadi majira ya saa 3.30 usiku yakiwa bado kubandikwa na umati mkubwa wa wananchi wakiwa wamekaa nje ya vituo hivyo wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo huku FFU wakizunguka zunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa kulinda amani japo hakuna vurugu zozote zilizopata kutokea jimbo la Iringa mjini
..............Yataendelea hivi punde.......................
 
Watamkumbuka sana David Mwakalebela
 
na ndio kosa kubwa walofanya kututolea Mwakalebela
kijana alikubalika sana Iringa pale

ndio ivo tena!!ushosti umewaponza
 
Inatia moyo, tuendelee kuomba na kushukuru
 
Na Francis Godwin,Iringa



MATOKEO ya awali katika jimbo la Iringa mjini, Njombe Kaskazini na Njombe Magharibi yameanza kutoka jana usiku huku vituo mbali mbali wagombea wa ubunge na urais wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) wakionekana kung'ara zaidi .


Katika jimbo la Njombe Magharibi mgombea ubunge wa jimbo hilo Thomas Nyimbo zaidi ya vituo 10 vya kata ya Ilembula ,Mdandu na Saja ameonyesha kufanya vizuri ukilinganisha na mgombea wa CCM Gyerson Lwenge kama ilivyo katika jimbo la Njombe Kaskazin ambako mgombea wa Chadema Alatanga Nyagawa akionyesha kuvutaka shati mgombe wa CCM Deo Sanga katika maeneo ya Lupembe ,Wangama na baadhi ya maeneo ya Makambako ambako hata hivyo kata ya mji mwema uchaguzi wa udiwani haujapata kufanyika baada ya karatasi ya kupigia kura kukosewa kwa zile za Rukwa kuja kata hiyo na kata hiyo kwenda Rukwa.



Katika jimbo la Iringa mjini mbali ya kujitokeza kasoro kadhaa kwa baadhi ya wana CCM katika kata ya Nduli kushindwa kupiga kkura zao baada ya kukosa majina yao katika daftari la wapiga kura kama ilivyo kituo cha stendi kuu ya mabasi ya mikoani ambako idadi kubwa ya wana Chadema walizuiliwa kupiga kura kwa matatizo kama hayo ,bado Chadema imeonyesha kufanya vizuri katika uchaguzi huo.



Matokeo ya awali katika jimbo la Iringa mjini ambayo yalikuwa yamebandikwa vituoni hadi jana majira ya saa 3 usiku ni pamoja na kituo cha Stendi kuu ambako mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete alipata kura (50) mgombea wa Chadema Dk Willibrod Slaa ( 33) na Prof.Ibrahim Lipumba (1).



Ubunge mgombea wa CCM Monica Mbega (36) ,mgombea wa Chadema,Mchungaji Peter Msigwa (97) na mgombea wa NCCR-Mageuzi Mariam Mwakingwe ( 1)



Kituo cha Ngome namba moja mgombea urais wa CCM Dk Kikwete ( 58) Dk Slaa (74) APPT-Maendeleo Peter Mziray (1),wakati nafasi ya ubunge mgombea wa CCM Mbega ( 39)Msigwa wa Chadema( 90) na Mwakingwe wa NCCR-Mageuzi ( 5)



Kituo cha Umati namba moja Kikwete ( 98) Dk Slaa 108 Mziray (1) ubunge Mbega ( 82) Msigwa ( 120) Mwakingwe ( 5),Kituo namba 2 umati Kikwete (97) Dk Slaa( 98)Mziray (1) na TLP (1) huku ubunge Mbega ( 73),Msigwa (114) Mwakingwe(8) na kituo cha umati namba 3 Kikwete ( 64) Dk Slaa(57)Prof LIpumba (1) ,ubunge CCM( 58) Chadema( 64) NCCR-mageuzi(1).



Kituo cha FFU namba 1 Urais CCM(47) Chadema( 63) huku ubunge CCM(36) Chadema(68),NCCR-Mageuzi (3) na kituo cha FFU namba 2 Urais CCM( 64) Chadema( 57) na CUF( 1), ubunge CCM(58)Chadema( 64) na NCCR-Mageuzi (3).



Kituo cha IDYDC namba 1 nafasi ya Urais CCM( 62) Chadema(75) na ubunge CCM ( 46) Chadema(84) na NCCR-mageuzi (5) na kituo cha IDYDC namba 2 Urais CCM (82) Chadema(68) na NCCR Mageuzi (1) Ubunge CCM( 67) Chadema(78) na NCCR mageuzi (7).



Kituo cha THB Urais CCM (97) Chadema(138) CUF( 3) na ubunge CCM(75) Chadema(159) na NCCR-Mageuzi (2) kituo cha Gangilonga urais CCM( 88),Chadema(70) NCCR-Mageuzi (1) na kituo cha Zimamoto namba 1 Urais CCM(84)Chadema(94) na CUF(2) kituo namba 2 Urais CCM( 103) Chadema(84) CUF (1) NCCR-mageuzi (1) ubunge CCM (87) Chadema(106) NCCR-Mageuzi (8) kituo cha soko la Kitanzini namba 1 Urais CCM( 79) Chadema(49) na CUF (1) kituo namba 2 Urais CCM(84) Chadema(68) na CUF(1),ubunge CCM( 70) Chadema(82) na NCCR Mageuzi (1) kituo cha Makorongoni ofisi ya mtendaji kata CCM Urais (66) Chadema( 77) na CUF( 1) ,ubunge CCM( 49) Chadema(96) NCCR-Mageuzi (1), kituo namba mbili ofisi ya mtendaji kata ya Makorongoni Urais CCM (81) Chadema(81) ,CUF(2) UPDP(1)Ubunge CCM(78)Chadema(108) na NCCR-mageuzi (5)
Hata hivyo matokeo hayo baadhi ya vituo hadi majira ya saa 3.30 usiku yakiwa bado kubandikwa na umati mkubwa wa wananchi wakiwa wamekaa nje ya vituo hivyo wakisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo huku FFU wakizunguka zunguka mitaa mbali mbali ya mji wa Iringa kulinda amani japo hakuna vurugu zozote zilizopata kutokea jimbo la Iringa mjini
..............Yataendelea hivi punde.......................

Maumivu ya kichwa huanza taratibu, nipeni panadol mei.
 
weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
CHADEMA mnatisha, wagombea wote walioshinda na watakaoendelea kutangazwa kwa ushindi tunawatakia kila la kheri mkatuwakilishe vizuri kule MJENGONI
 
Wadau chadema wametangazwa rasmi kama washindi kwa nafasi ya ubunge na wananchi wameridhika na wanaondoka kwa amani.
 
Back
Top Bottom