Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Invisible imekuwaje!! waache mambo ya karne ya 19, watoe matokeo tuendelee na ujenzi wa taifa.
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii !!!! waaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
PEOPLE'SSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
 
Hahaaaa....
Sasa hivi opereshen zote zimesimama mkuu....

Operesheni zimehamishwa toka gesti hausi mpaka kwenye vyumba vya kuhesabia kura....


And the winner is...........................................:nono::nono::nono:
 
Umeona ehee hebu muulize yuko kituo gani

Acheni aisee....mkuu wa kaya atatupa life ban muda si mrefu.....
Msiwe na uhaba wa imani....
Invii...dk. 10 tunasubiri bana!
 
Jamani mtatuua kwa presha hebu fanyeni haraka maana tumechoka kusubiri ni bora watangaze shughuli nyingine ziendelee
 
Jamani tunayasubiri kwa shauku kubwa......................................wengine jana tumelala hapo, ndio tumekuja hm kunywa chai then turudi
 
I can see people standing and cheering waiting for the final whistle of this game 35 seconds to stoppage time
 
CCM hawachelewi kuarisha kwa kisingizio cha fujo za CHADEMA
 
now here is the controversy.................

ref awarded a penalty..................

oh my world!!!

red card is awarded to coach Mnyika...........

he is definitely gonna be a winner, but he'll look from the stands.........

play continues...............
 

Mkuu umeshindwa kunielewa pengine kamanda PakaJimmy anaweza kukusaidia kidogo.
Nadhani Ngongo una point fulani!
Ila itachukua muda kidogo kuhakikisha kama hayo mambo unayodai ni objective!
Kimsingi tahadhari ni jambo la maana, na nawashuri watu tuangalie pande mbili za shilingi ili kuwa rational, na ndiyo principle ya uweledi!
Tuko Pamoja Mheshimiwa NGONGO!
 
Operesheni zimehamishwa toka gesti hausi mpaka kwenye vyumba vya kuhesabia kura....


And the winner is...........................................:nono::nono::nono:

30 seconds to stoppage time
 
Jamani siyo Invisible ni NEC!! Si unajuwa jinsi gani wameamua kuturusha roho this time baada ya kushindwa kuchakachua matokeo yanachukua siku tatu!!
 
Hahaaaa....
Sasa hivi opereshen zote zimesimama mkuu....


Nimesikia issue kule kwa mramba ni kwamba kapitwa kwa kura mbili na hataki kukubali.....Selasini kampiga chini
 
Back
Top Bottom