HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 722
- 971
lazima ujue background ya uchaguzi wa Kigwangalalanga kuelewa ana maana gani bahati.
Kigwangallalaa alishindwa preliminaries za CCM, alikuwa wa tatu. Wa kwanza alikuwa disqualified kwa sababu ni illegal alien, wa pili Selelii, a Richmonduli celebrity aliyekuwa adui ndani ya Chama. Ndio CCM kuwaengua wote wawili kumuokota figurehead wa tatu awe candidate. Na yeye mwenyewe ali survive criminal scandal la kufoji majina ya vyeti.
Ndo maana anasema ana bahati, mpe pongezi ya kuwa mkweli, hakustahili. Kwanza cheki anavyoanza remarks zake "Oyaaa..." hata gravitas ya Ubunge hana.
Kiranga ulishawahi kugombea Ubunge hata mara moja au we kazi yako ni kukosoa wenzako walioonesha dhamira ya kuwatumikia wananchi? Ushawahi hata kuzunguka kupiga kampeni kutafuta kura???
I advise you to shut up on things greek to you! Its also wisdom...
Huwa ninaamini kuwa wengi wa waliopo hapa ni wasomi wazuri tu na mnafahamu maana halisi ya uhuru wa kutoa maoni, wa kuchagua n.k. Lkn to my surprise mtu anadhani itikadi yake ya chama ndiyo sahihi zaidi ya wengine na mara zote anatukana tu wengine kwa kuwa wana itikadi tofauti na ya kwake! That is not democracy!
Kiranga ulishawahi kugombea Ubunge hata mara moja au we kazi yako ni kukosoa wenzako walioonesha dhamira ya kuwatumikia wananchi? Ushawahi hata kuzunguka kupiga kampeni kutafuta kura???
I advise you to shut up on things greek to you! Its also wisdom...
Huwa ninaamini kuwa wengi wa waliopo hapa ni wasomi wazuri tu na mnafahamu maana halisi ya uhuru wa kutoa maoni,
wa kuchagua n.k.
Lkn to my surprise mtu anadhani itikadi yake ya chama ndiyo sahihi zaidi ya wengine na mara zote anatukana tu wengine kwa kuwa wana itikadi tofauti na ya kwake! That is not democracy!
huyu mkuu hata hajijui kama anaamini kuwa bahati ndo ilomfikisha hapo alipo au spirit yake binafsi. (walompigia kura hajawahusisha kabisa kwenye mafanikio yake)
na inaonyesha bado hajaamini, manake posti nzima hamna sentensi ilomaliza na nukta, kama hashangai yeye basi anauliza suala.
I think your a good person hongera ILA CHAMA CHA MAJAMBAZI mhhhhhhhh!!!Pole sana Kiranga, nisamehe, naona nimekukwaza! Sorry pal.
@malafyale, nishawashukuru wanaNzega kwa kuniamini, and have done so several times and will do so in every ward!
To set records straight, 'bahati' ni ile niliyoipata kwa kuteuliwa na chama changu baada ya kuwa 2nd runner up kwenye primaries - to me that seems like pure luck plus the fact that chama kiliamini nitakipa ushindi kwa kuwa nina sifa na wasifu stahiki wa kuwa MB, kushindwa kwenye kura za maoni is a function of so many things, sipendi kusema hapa sababu hizo!
Wengi ndani na nje ya CCM, they thought Kigwangalla hauziki na atashindwa kwenye general election, lakini mi na wanaccm wenzangu persevered and fought hard to win the election! Hii sasa haikuwa 'bahati' ni ushindi tulioutafuta kwa sera nzuri za chama na confidence ya uwezo wa kufuatlia na kusimamia utekelezaji, ya wagombea wa CCM, hususan Mbunge wao! Ikafika mahali wakaamini, wakanipa kura nyingi!
Pole sana Kiranga, nisamehe, naona nimekukwaza! Sorry pal.
@malafyale, nishawashukuru wanaNzega kwa kuniamini, and have done so several times and will do so in every ward!
To set records straight, 'bahati' ni ile niliyoipata kwa kuteuliwa na chama changu baada ya kuwa 2nd runner up kwenye primaries - to me that seems like pure luck plus the fact that chama kiliamini nitakipa ushindi kwa kuwa nina sifa na wasifu stahiki wa kuwa MB, kushindwa kwenye kura za maoni is a function of so many things, sipendi kusema hapa sababu hizo!
Wengi ndani na nje ya CCM, they thought Kigwangalla hauziki na atashindwa kwenye general election, lakini mi na wanaccm wenzangu persevered and fought hard to win the election! Hii sasa haikuwa 'bahati' ni ushindi tulioutafuta kwa sera nzuri za chama na confidence ya uwezo wa kufuatlia na kusimamia utekelezaji, ya wagombea wa CCM, hususan Mbunge wao! Ikafika mahali wakaamini, wakanipa kura nyingi!
Pole sana Kiranga, nisamehe, naona nimekukwaza! Sorry pal.
@malafyale, nishawashukuru wanaNzega kwa kuniamini, and have done so several times and will do so in every ward!
To set records straight, 'bahati' ni ile niliyoipata kwa kuteuliwa na chama changu baada ya kuwa 2nd runner up kwenye primaries - to me that seems like pure luck plus the fact that chama kiliamini nitakipa ushindi kwa kuwa nina sifa na wasifu stahiki wa kuwa MB, kushindwa kwenye kura za maoni is a function of so many things, sipendi kusema hapa sababu hizo!
Wengi ndani na nje ya CCM, they thought Kigwangalla hauziki na atashindwa kwenye general election, lakini mi na wanaccm wenzangu persevered and fought hard to win the election! Hii sasa haikuwa 'bahati' ni ushindi tulioutafuta kwa sera nzuri za chama na confidence ya uwezo wa kufuatlia na kusimamia utekelezaji, ya wagombea wa CCM, hususan Mbunge wao! Ikafika mahali wakaamini, wakanipa kura nyingi!
@ahsante Henge na tanzActive. Sintowaangusha wanaNzega na waTz wenzangu
@Tom Odera, surely let's wait for time to tell us...why the pessimism?
@fundi mchundo, am never arrogant and ofcoz am young but wise and hardworking!
@hisia kali, hakuna nguvu za ziada zilizotumika Nzega, that was a clean win!
Pole sana Kiranga, nisamehe, naona nimekukwaza! Sorry pal.
@malafyale, nishawashukuru wanaNzega kwa kuniamini, and have done so several times and will do so in every ward!
To set records straight, 'bahati' ni ile niliyoipata kwa kuteuliwa na chama changu baada ya kuwa 2nd runner up kwenye primaries - to me that seems like pure luck plus the fact that chama kiliamini nitakipa ushindi kwa kuwa nina sifa na wasifu stahiki wa kuwa MB, kushindwa kwenye kura za maoni is a function of so many things, sipendi kusema hapa sababu hizo!
Wengi ndani na nje ya CCM, they thought Kigwangalla hauziki na atashindwa kwenye general election, lakini mi na wanaccm wenzangu persevered and fought hard to win the election! Hii sasa haikuwa 'bahati' ni ushindi tulioutafuta kwa sera nzuri za chama:lying: na confidence ya uwezo wa kufuatlia na kusimamia utekelezaji, ya wagombea wa CCM, hususan Mbunge wao! Ikafika mahali wakaamini, wakanipa kura nyingi!
... Ana tembea kama bata, anakula kama bata, anahema kama bata, ana... kama bata; Huyo ni bata tu... huwezi kuwa mtetezi wa MAFISADI then ukasema wewe siyo kati ya hao MAFISADI... CHalii yangu unafahamu fika kuwa UMECHAKACHAU KUANZIA KURA ZA MAONI MPAKA ZA UBUNGE... YES Tunajua mlichokifanya.
@ahsante Henge na tanzActive. Sintowaangusha wanaNzega na waTz wenzangu
@Tom Odera, surely let's wait for time to tell us...why the pessimism?
@fundi mchundo, am never arrogant and ofcoz am young but wise and hardworking!
@hisia kali, hakuna nguvu za ziada zilizotumika Nzega, that was a clean win![/QUOTE]
Hapo unajua kabisa unaongea uongo , kinyume cha dini yako mwenyewe, na dhamira yako inakusuta!