HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 722
- 971
Kiranga ulishawahi kugombea Ubunge hata mara moja au we kazi yako ni kukosoa wenzako walioonesha dhamira ya kuwatumikia wananchi? Ushawahi hata kuzunguka kupiga kampeni kutafuta kura???
I advise you to shut up on things greek to you! Its also wisdom...
Huwa ninaamini kuwa wengi wa waliopo hapa ni wasomi wazuri tu na mnafahamu maana halisi ya uhuru wa kutoa maoni, wa kuchagua n.k. Lkn to my surprise mtu anadhani itikadi yake ya chama ndiyo sahihi zaidi ya wengine na mara zote anatukana tu wengine kwa kuwa wana itikadi tofauti na ya kwake! That is not democracy!
I advise you to shut up on things greek to you! Its also wisdom...
Huwa ninaamini kuwa wengi wa waliopo hapa ni wasomi wazuri tu na mnafahamu maana halisi ya uhuru wa kutoa maoni, wa kuchagua n.k. Lkn to my surprise mtu anadhani itikadi yake ya chama ndiyo sahihi zaidi ya wengine na mara zote anatukana tu wengine kwa kuwa wana itikadi tofauti na ya kwake! That is not democracy!