Confirmed:> New love birds - Diamond and wWema Septu

Confirmed:> New love birds - Diamond and wWema Septu

huyu wema anahitaji muongozo,wanaume wote hao? and she just turned 20????bibie utaichakaza hio nahino yakoooo halafu ukose wa kukuoa-anyway,uko kny foolish age hatukushangai sana naamini utatulia tu within next few years....angalia usije ukajutia kipindi hiki....:smash:
 
Diamond si "potential"?

Na unajuaje anakigawa? Ulikuwa fly on the wall mara zote alizokigawa (sijui hata ni kinini hicho)?

You people are too judgmental...geeeeez

Kwani scandals za Wema zimeanza leo au ni siri?vyombo vya habari viliandika sana matatizo ya huyu binti,mpaka wazee wake waka give up,wewe leo unakuja na silly qtn eti najuaje kama anakigawa?Cha muhimu kwa huyu bibiye ni kutulia,Sasa if diamond is potential then good for her.
 
Okey...!:focus: especially the picture itself. Huo mkono wa kushoto wa Wema unapima mapigo ya moyo...tehe!
 
Binti kanifurahisha, amefumba macho kuonyesha mapenzi ya kweli... Kisha kaweka mkono kwenye dudu kuonyesha kuwa anataka mashine aangaike nayo... Licha ya kupita kwingi i suppose mtoto atakuwa mtamu sana kama pozi alilolionyesha linareflect mambo ya kitandani.
 
namhurumia dogo almas toka pa shoka hapaingii kisu na soon ataanza kushuka kimuziki huyu wema nae kama katiwa ndimu!
 
mara tid, blue, kanumba, jumbe, chalz baba, diamond, etc,, eheee na wengine watafuata,,,,


Mwacheni aliwe, si alipewa bure bandugu? Na babu bado anagawa dawa....
 
Wema naona amepania kuwalamba wasanii wote, duuuu, demu balaa huyu au anataka kuingia kwenye rekod za dunia
 
duuh dogo kajikita kwa dege bovu lisiloliwa, mpeni pole
 
Aaaah wemaaaaaaa!!!! Staa ambae hapendi Jina lake lishuke,, jina na umaarufu ukipungua anatafuta king'aacho anakivamanda jina linaendelea ku shine. Pole almasi mpe Shavu shost we ufe kibudu
 
huyu dogo nae kanasa humu kwenye hili goma.......uuuuuuwiiiiiiiiiiii kwababu loliondo kutahusika sasa hivi hapa...:hatari::hatari::hatari:
 
Dogo dogo umegusas pabaya wengi walipwaya, anyway nawatakia kila jema.
 
Binti anahitaji huruma. inawezekana kabisa bint ana pepo linalomsumbua. nahisi hata yeye haelewi kwanini anajikuta anabadili wanaume mara kwa mara kwa muda mfupi tu.
Tumsaidie binti kwa maombi ili pepo limtoke na si ku-condem. Pepo linamtesa.
 
'GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KUONA KIVUNO'....... DAIMONDIIIIIII kamua baba.
 
Nani humu keshawahi toka na Miss Tanzania??

Diamond kimtindo kavunja rekodi yakutoka na mrembo bei ghali, mrembo wa tanzania, swali ni je atamudu gharama za Wema?
 
kwa hiyo unaona ujanja kutoka na miss tanzania yaani we mjomba kweli!!!!!!!vipi umedandia treni kuja mjini au!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kijanaaa mbagara jilie mautamu.....ilaa tumia sox.
 
Back
Top Bottom