To me this is one of the great nuwz to receive in this hour. Si mnamkumbuka huyu jamaa alivyokuwa na majibu ya kejeli? Mkjj urais hapo vp napo wamenyuti kutoa matokeo?
asante kwa taarifa mkuu Mwanakijiji,pamoja na kuchelewesha kutangaza kwa makusudi ili waweze kuchakachua kura za Urais lakini wameshindwa kubadili ya ubunge! Safi sana na hongera Mh. akoonay.
Saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyu mzee bogas sana, Watapata urais lakini na sisi tumepata wabunge makini, tunatarajia 2015 kuikamata nchi yoooooooooooote kabisa.Hongera wana CHADEMA kwa mshikamano na upendo.
Viva wanamageuzi, Viva wanamapinduzi! Huyu bwana ni miongoni mwa wale ambao walikuwa na jeuri na 'kibri' ya madaraka, wacha aonyeshwe kwamba yana mwisho hayo
i was so quite during this year campaign ila naweza kusema maneno machache.
1.CCM imeshindwa kwasababu wananchi wamemchoka mkwere ambaye watu wamemchoka
2.CCM imeshindwa uchaguzi baada ya kushindwa kuleta mabadiliko ambayo wananchi waliyategemea ndani ya kipindi cha miaka mitano kinachoishia sasa
3.CCM imeshindwa sababu ya makundi ambayo yalijengwa ndani ya CCM.
All in all wananchi wameamua kufanya mabadiliko na kazi kubwa ambayo imefanywa na JF kwa muda mrefu,kwa umakini mkubwa,uzalendo wa khali ya juu sasa imelipa..
Ngoja niwasalimu ndugu zangi wa Mbulu kwa Ki-iraq Saitaa, Aidomaa Aidorii mmenifurahisha sana huyu jamaa alikuwa bungeni toka enzi za kina chief E;ias Sarwatt nadhani ndio alimuachia ubunge miaka ya 70-80 duh Wambulu mmenifurahisha sana nadhani leo ni raha tupu pale Endagikot, Kainamu, Harka, Issale, Gehandu n.k