Confirmed:zile grades walizowekewa 1st yr wa udsm,ndio grades zao halali za mkopo.

Confirmed:zile grades walizowekewa 1st yr wa udsm,ndio grades zao halali za mkopo.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Source wa hii news ni mshikaji wangu wa karibu alienda leo board kuulizia abt hilo suala.bt hii inawahusu wale tu waliowekewa herufi A-k,kama umewekewa herufi l,m,n,o,p na r be patient kuna error ilijitokeza na mtawekewa grades zenu soon,kama hujawekewa herufi yeyote ndo umekosa mkopo hvo.ndio hayo tu jamani,me cjawekewa herufi yoyote coz ckuapply,ila naanza kujutia uamuzi wangu sasa coz nimeona raia weng hata wale wa non priority wamelambwa mkopo.
 
Mbona wenye masomo saba hamna kitu wote,means wote wamekosa hamna hata mwenye sifa?!!!!!
 
Source wa hii news ni mshikaji wangu wa karibu alienda leo board kuulizia abt hilo suala.bt hii inawahusu wale tu waliowekewa herufi A-k,kama umewekewa herufi l,m,n,o,p na r be patient kuna error ilijitokeza na mtawekewa grades zenu soon,kama hujawekewa herufi yeyote ndo umekosa mkopo hvo.ndio hayo tu jamani,me cjawekewa herufi yoyote coz ckuapply,ila naanza kujutia uamuzi wangu sasa coz nimeona raia weng hata wale wa non priority wamelambwa mkopo.

Rumor mongering! Acha
 
unaweza kuta uyo jamaa ako amejibiwa na walinzi wa pale HESLB!
 
heheh na bei za hostel jimepandichwa by 100%(i.e. 2X the original amnt) both Mabibo na main,jiandaeni kugoma bna
 
aah sasa kama ni wale walinzi wetu pale BODI wamemwambia aamini ila si hivyo ndugu
 
Eti izo herufi zinapatikana sehem gan? Na je ni kwa wale wa udom or udsm ama kwa wote! Tafadhari nielekeze hizo herufi unaziangalia wapi wakuu
 
Back
Top Bottom