Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Source wa hii news ni mshikaji wangu wa karibu alienda leo board kuulizia abt hilo suala.bt hii inawahusu wale tu waliowekewa herufi A-k,kama umewekewa herufi l,m,n,o,p na r be patient kuna error ilijitokeza na mtawekewa grades zenu soon,kama hujawekewa herufi yeyote ndo umekosa mkopo hvo.ndio hayo tu jamani,me cjawekewa herufi yoyote coz ckuapply,ila naanza kujutia uamuzi wangu sasa coz nimeona raia weng hata wale wa non priority wamelambwa mkopo.