PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
ni mturukana kutoka Uganda.Wewe ni mtz kweli?
Ndugu tumeshindaMbona sielewi, mara tumepigwa kimoja mara tumepita, kipi ni kipi??
Kama ni kweli hongera sana kwa vijana wetu na kama sio baasi tukipange zaidi ila bado vijana wanastahili pongezi.
Simuelewi asee migration wafanye kaz yaoni mturukana kutoka Uganda.
Rekebisha heading, Serengeti boys wametolewa!SERENGETI BOYS YAPASUA, YAFUZU KOMBE LA MATAIFA AFRIKA KWA KUIZUA CONGO KWAO - SALEH JEMBE..
Chanzo Salehe Jembe Tuwapongeze vijana wetu kwa hili
[emoji28] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Washabiki wa simba wametutia aibu jana,leo tunafarijiwa na vijana wetu wa serengeti boyz, maisha yanaenda.