Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuna wakimbizi wa Congo kwa maelfu TanzaniaAsante sana ndugu yangu
Nimeuliza hivyo sababu sijaona wakimbizi wakija tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakimbizi wa Congo kwa maelfu TanzaniaAsante sana ndugu yangu
Nimeuliza hivyo sababu sijaona wakimbizi wakija tz
Wapo wengi sanaaaKuna wakimbizi wa Congo kwa maelfu Tanzania
Tanga ya baba yakoMi huwa najua tunapakana kule Tanga
Hahahaaaa😀😀Tanga ya baba yako
Sio kule zanzibar kakaHahahaaaa😀😀
Kwanza una umri gani? Na elimu yako niya kiwango gani ?,Aman kwenu watumishi wa MUNGU
Ni swali ambalo nauliza ?
Je Tanzania hatuna mpaka na kongo hakuna mkoa ambao unapakana na Kongo?
Asante
SAYUNI BOY
Hahahaha hajasoma hata la 1Kwanza una umri gani? Na elimu yako niya kiwango gani ?,
Umeuliza swali ambalo hata darasa la pili wanafundishwa mashuleni(mipaka ya nchi)
Hapana cha huko huko DRC - kidogo aseme haija pakatwaKiswahili Cha usukumani hiki.
Usishangae huyo ni University graduate, Elimu yetu ina produce watu wa ajabu sana .Hahahaha hajasoma hata la 1
Huyo ndiyo graduate wetu na gpa za kutosha analilia ajira.Kwan hujasoma raman ya Tanzania 🇹🇿 kaka
Sijasoma ramani kivipi wakati nimetoa maelezo ama wewe haujui mpaka wetu na Congo DRC uko wapi?Kwan hujasoma raman ya Tanzania 🇹🇿 kaka
Tanzania tunalinda biashara yetu kubwa na rwanda,hatko kwenye hiyo vitaAman kwenu watumishi wa MUNGU
Ni swali ambalo nauliza ?
Je Tanzania hatuna mpaka na kongo hakuna mkoa ambao unapakana na Kongo?
Asante
SAYUNI BOY
Huko shuleni uliend somea ujinga?!Je Tanzania hatuna mkoa ambao unapakana na Kongo?