Congo dust ni nini?

Congo dust ni nini?

Nsibhwene

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2016
Posts
293
Reaction score
217
Nimekuwa nikisikia Kongo Dast (Lakini nadhani ni Congo Dust). Hii ni kitu gani?
 
Hiyo nimifuko mbadala ya serikali usihangaike
 
Uzuri mifuko hiyo ukiichoka kama vibebeo na vifungashio unaila na chai kama kula chapati vile
 
umesikia wapi ndugu? ni vema ukauliza huko ulikosikia watakupa majibu kuliko huku. humu mgeni wengi.
 
Ni balaa za vijana mkuu,mbadala wa viagra,wanaamini ni vitu vyenye asili ya congo na blahblah nyingine
 
Back
Top Bottom