imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kongo ni kubwa sana.Miaka 60 wameshindwa kijenga Barbara za kuunganisha mikoa, si heri watawaliwe na mkoloni mweusi awajengee walau barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongo ni kubwa sana.Miaka 60 wameshindwa kijenga Barbara za kuunganisha mikoa, si heri watawaliwe na mkoloni mweusi awajengee walau barabara
Na rasilimali ni nyingi pia, hawana excuse ya kutojenga miundombinu yao.Kongo ni kubwa sana.
Kongo wakipitisha Barabara kwenye huo Msitu basi huo Msitu naupa miaka ishirini kwisha habari yake.Na rasilimali ni nyingi pia, hawana excuse ya kutojenga miundombinu yao.
Utavunwa wote?Kongo wakipitisha Barabara kwenye huo Msitu basi huo Msitu naupa miaka ishirini kwisha habari yake.
Kabisa mkaa Maziwa makuu utashuka bei.Utavunwa wote?
Bukavu ipo karibu m'noo na Rwanda ukisogea zaid ndio unakutana na Mpaka Wa Burundi na CONGO so kwa Bukavu wapo saaiii kuelekea Rwanda,Wanapelekwaje Rwanda wakati wacongo wanasema Rwanda ndio sababu ya vita?
Na ndo maana burudi kapeleka congo majeshi yake moja kwa moja anajua waasi wakisha fika bukavu bac wataungana na waaasi wa bulundi,Bukavu ipo karibu m'noo na Rwanda ukisogea zaid ndio unakutana na Mpaka Wa Burundi na CONGO so kwa Bukavu wapo saaiii kuelekea Rwanda,
M23 wanaendelea Kupeleka motoWaasi wa M23 wameingia Kavumu ni km 25 toka Bukavu airport hatua hiyo imepeleka wanadiplomasia kuondelea Bukavu kwenda Rwanda, tutegemee kuona mapigano ktk jiji la Bukavu siku siyo nyingi.