bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Basi nenda kachukue mkopo bank na wewe kama unaweza.unafikiri kuna masikini yeyote anaepata mkopo wa kujenga hotel toka bank?au unadhan mkopo unachukuliwa hovyohovyo tu?Huwezi kuwa Tajili kama mpaka leo bado unawaza kimaskini, wacha wahindi wachukuwe mikopo bank waendelee kukutumikisha tu ndio upeo wa ubongo wako, kutumwa na wahindi tu.
Ukiona bank imekukopesha wewe jua kua wameona kua unauwezo wa kufilisiwa na kirudisha mkopo wao mambo yakienda mrama.Huo Ndio Unaoitwa Chuki, Kwani Ktk Maelezo Yake Amesema Anajenga Kwa Mshahara Au Posho Yake!!?? Au Mkopo Wa CRDB Ni Mshahara Na Posho Ya Ubunge!! Kama Haujui Hata CHATO Kumejengwa Hotel Kitambo Tu, Au Uwaziri Wa Ujenzi Nao Kumbe Unalipa!!!?
acha majungu kuna wasio wabunge na wanahoteli chapa kazi kijanaUbunge unalipa kweli! Miaka mitano tu mahoteli wanajenga??
Adili alitaka kuwa nani mkuu?Huyo sugu hana maana,kaua ndoto za ndugu yangu (adili hisabati)
hisabati hangoji vya yoyote mkuu,ana mingo zake tu na sidhani kama ana kinyongo na Sugumwambie adili achape kazi asisubiri vya watu.
Ajila ya vibaruwa ipo hapo ila je kampuni za nyumbani hakuna wakandarasi wa kufanya kazi hiyo? au Wachina bei yao iko chini sana?kuna walakini mahali.... ajira kwa vijana .. any way hongera sugu
hili swala linahitaji kautafiti .. labda wakandarasi wa nyumbani hawana viwango....Ajila ya vibaruwa ipo hapo ila je kampuni za nyumbani hakuna wakandarasi wa kufanya kazi hiyo? au Wachina bei yao iko chini sana?
You have point, hata kama wana viwango akikujengea jengo moja yeye anataka apate majengo mawili kwa pesa yako hiyohiyo, nimeona hata nyumba za mfuko fulani kandarasi wamepewa wachina kuzijenga, sijaelewa hawa wakandarasi wazawa material sijui wananunuwa dunia ipi?hili swala linahitaji kautafiti .. labda wakandarasi wa nyumbani hawana viwango....
Mkuu usipende kuweka premature conclusion....coz hujui source ya pesa yake....may be ni loan!!!Ubunge unalipa kweli! Miaka mitano tu mahoteli wanajenga??
Watanzania tuna shida sana kwenye credibility and integrity ya kazi! Sababu kubwa ni kuendekeza rushwa na kupiga panga hata pasipofaa kupiga panga!You have point, hata kama wana viwango akikujengea jengo moja yeye anataka apate majengo mawili kwa pesa yako hiyohiyo, nimeona hata nyumba za mfuko fulani kandarasi wamepewa wachina kuzijenga, sijaelewa hawa wakandarasi wazawa material sijui wananunuwa dunia ipi?
Mkuuu Kwan daraja la kigambon limejengwa na watanzania au, VIP kuhusu barabara ya Mosh, arusha to namanga? Mwache Mr suguHivi Mbeya hakuna wakandarasi wa kujenga hiyo Hotel? tunategemea wabunge ndio waanze mfano wa kulinda ajila za ndani. mwenye maelezo zaidi anipatie.
Kwa taarifa yako tu Sugu ni mwanangu kitambo tangu Mbeya day, nina access ya kumuuliza hili kwa mdomo, nimeandika hapa kuleta changamoto na kuchokonowa mada tu, hotel anayojenga Sugu ni kama Motel tu na siyo miradi mikubwa kama hiyo ya daraja la kigamboni ambapo ni sahihi kutoa kandarasi nje. usiniangalie kwa woga.Mkuuu Kwan daraja la kigambon limejengwa na watanzania au, VIP kuhusu barabara ya Mosh, arusha to namanga? Mwache Mr sugu
Hapana mkuu wakandaras wa kitanzania baadhi Yao hawaaminiki kwa sbb wamezid kuchakachua . Pia weng wao hawana mitaji mikubwa .Kwa taarifa yako tu Sugu ni mwanangu kitambo tangu Mbeya day, nina access ya kumuuliza hili kwa mdomo, nimeandika hapa kuleta changamoto na kuchokonowa mada tu, hotel anayojenga Sugu ni kama Motel tu na siyo miradi mikubwa kama hiyo ya daraja la kigamboni ambapo ni sahihi kutoa kandarasi nje. usiniangalie kwa woga.
Hawana exposure ya kutosha, wamezaliwa Mwanjelwa, wamekulia Uyole na wanaishi Mafyati. unategemea atakujengea hotel gani ya kuvutia. Hapo kinachotafutwa ni quality, ambacho ni kitu muhimu sna kwenye biashara including hiyo ya Hotel.Hivi Mbeya hakuna wakandarasi wa kujenga hiyo Hotel? tunategemea wabunge ndio waanze mfano wa kulinda ajila za ndani. mwenye maelezo zaidi anipatie.
Alivong'ang'ania kuchukua amlee alikuwa anategemea nn?Coz mama alitupia kideo insta, mtoto anaomba hela ya kusuka ha ha ha
Weye chuki inatoka wapi?Huo Ndio Unaoitwa Chuki, Kwani Ktk Maelezo Yake Amesema Anajenga Kwa Mshahara Au Posho Yake!!?? Au Mkopo Wa CRDB Ni Mshahara Na Posho Ya Ubunge!! Kama Haujui Hata CHATO Kumejengwa Hotel Kitambo Tu, Au Uwaziri Wa Ujenzi Nao Kumbe Unalipa!!!?
Ukiona bank imekukopesha wewe jua kua wameona kua unauwezo wa kufilisiwa na kirudisha mkopo wao mambo yakienda mrama.
Mnafumba macho na kijifanya kua hamjui kwamba hakuna mkopo unaotoka bila security kwa bank.na angepataje hizo security kama sio ubunge wake?kakaa ng'ambo miaka mingi mbona hakukopa wala kujenga hata mgahawa??ukweli ndio huo ubunge unalipa na ubinge umempa connection ya kupata huo mkopo.