Congrats to Diamond and Lady Jaydee for making Tanzanians proud

Congrats to Diamond and Lady Jaydee for making Tanzanians proud

Niliona kwenye Mtandao wa Millard Ayo nikajua hamtaji Jide.
 
Mbona sioni Diamond tuzo mbili???? kuna nyuzi zinasema Dangote amekula tuzo 2
 
Hizo tuzo nadhani hazina tofauti na zile za shigongo au Le Mutuz,basi Domo ndo kapata pa kusemea,jide kazipata bila promo na mpaka sasa kapiga kimyaaaa

Kweli hapa inatuonyesha kuwa Diamond aidha kuna watu wanampa mapromo au yy misifa mingi mbona jide kimya au hajutegemea kama atashinda hizo ni sawa na tuzo za shigongo au kwakuwa zimefanyika Marekani mimi ningefurahi sana kama angeshinda Bet au Mtv ingekuwa powa apunguze sifa msanii wetu kama anaweza anaweza tu mbona ana wasi wasi Ay mbona alichukua ya Chanel O na ilikuwa powa tu au anataka washabiki wake tuamini kuwa yy ni mzee wa kucopy
 
Habari zenu ndugu ,wakubwa na wadogo
nataka niweke sawa kuhusu utata uliozuka kuwa diamond kashindatuzo ngapi,
kwenye AFRIMMA,ameshindatuzo mbili,mwanamziki bora east afrika na number 1 rmx ikishindacollabo bora ya Africa
category iliyokuwa na ugumu kidogo kulingana na aliokuwa akishindanishwa na-
2face ft Tpain- Rainbow ( Nigeria/ United
States)
Mafikizolo ft Uhuru-- Khona ( South Africa)
Dr Sid ft Don Jazzy /Phyno/Wizkid- Surulere
remix(Nigeria)
Amani ft Radio and Weasel – ‘Kiboko
Changu’ (Kenya/Uganda)
Jmartins ft DJ Arafat--- Touching body
( Nigeria/ Ivory Coast)
R2bees and Wizkid- Slow down ( Ghana/
Nigeria)
..kilichotokea ni makosa ya uandishikwenye website ya afrimma ambako ndiyo watu wamecopy ..
but wameahid kulekebisha,kwa ufupi diamond anarudi na tuzo mbili mkononi.
lakin nitumie nafas hii kuweka sawa kuwa,diamond kwa sasa,wasanii wakubwa wa nje wengi ndiyo wanoomba collabo yeye,sitosema mengi ila kwa uchache tu nimfano wa
mafikizolo waliomwomba diamond nakumlipia na nauri ili abaki south ili tu collabo ikamilike,piakuna iyanya ailiomba colabo (siyo bumbum) but haiyjatoka bado,kuna waghana,kuna mwanadada waje wa nigeria,hilo liliandikwa sana tu kwa wanokumbuka,all in all time wil tell,kazi zitajieleza zikitoka.Ahsanteni

Ha ha ha ha mkuu uandishi wako sio mchezo. Rudi hata MEMKWA kidogo itasaidia!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Yani Kwa kupanga maisha ya wenzetu hatujambo, Eti mbona Jide yupo kimya ahhh jibu ni rahisi tu mbona!
 
ameahid kulekebisha,kwa ufupi diamond anarudi na tuzo mbili mkononi.
lakin nitumie nafas hii kuweka sawa kuwa,diamond kwa sasa,wasanii wakubwa wa nje wengi ndiyo wanoomba collabo yeye,sitosema mengi ila kwa uchache tu nimfano wa
mafikizolo waliomwomba diamond nakumlipia na nauri ili abaki south ili tu collabo ikamilike,piakuna iyanya ailiomba colabo (siyo bumbum) but haiyjatoka bado,kuna waghana,kuna mwanadada waje wa nigeria,hilo liliandikwa sana tu kwa wanokumbuka,all in all time wil tell,kazi zitajieleza zikitoka.Ahsanteni


Rafiki ulikuwa fastaaaaaaa .....

Ameparua kinoma
 
Back
Top Bottom