CONGRATULATIONS SHISHI!....welcome to the club

habari bestlady/matron

umeamka au unalala??

samahani kama nitakukwaza lakini sijaelewa

hahahaha leo mie upande nilioamkia ni hata siujui ..bestlady lakini acha hivohivo tu usiongee ..,mie nimejifunza jinsi gani ya kukuelewa ukiwa katika kipindi cha mpito basi na wewe do ze same eeh nilikumiss sana
tulikuwa na kichomi cha mtandao my bestlady .
naona uko Poa sana ..ndio furaha yangu
 
wazembe wamenitumia PM za kufariki bana! waswahili bana, hata nikifa nimesema HARISI MTU ,nazikwa na kila kilicho cha kwangu
Dah! Wivu mpaka makaburini? Mi nikifa mnizike na valuu yangu mtakayonikuta nayo.
 
WHERE WE DARE.....
HEHEHEHEHEHE!where we dare to practise our customs and tradtitions OPENLY
Hahahaha!
Kakague. Ila tunakuwa makini sana hommie anapokwa karibu na mikakati yake.
 
Hahahaha!
Kakague. Ila tunakuwa makini sana hommie anapokwa karibu na mikakati yake.

hommie wako bana,dah!
usipokuwa makini utaishia kunawa tu kila inapoletwa ''chakula''
 
Hapa napo kuna nini?
Ni huyu Shishi amegoma kutumia kondom sasa amefanikiwa kupata matunda ya mgomo wake.
Kajifungua salama ndo tunampa hongera zake.
Homeboi umetokea gesti gani na haka kamvua?
 
Ni huyu Shishi amegoma kutumia kondom sasa amefanikiwa kupata matunda ya mgomo wake.
Kajifungua salama ndo tunampa hongera zake.
Homeboi umetokea gesti gani na haka kamvua?
ha ha ha hommie si mbali sana pale pale pa siku zote nilikua na......
 
hivi anayepewa Congrats bado yuko maternity ? sijauona uso wake hapa ndani Geoff umemuacha wapi?
 
G inabidi umpelekee shishi thupu ya silinder head kesho asubuhi! sawa, anasema madhiwa yanagoma kutoka.
Usisahau kununua na pilipili manga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…