Habari wakuu,Niko mkoani Mbeya,naomba kwa yeyote mwenye connection ya biashara za mazao.Nina mtaji kiasi 2.5M.Niko tayari kushirikiana pia katika kufanya hiyo biashara.
Habari wakuu,Niko mkoani Mbeya,naomba kwa yeyote mwenye connection ya biashara za mazao.Nina mtaji kiasi 2.5M.Niko tayari kushirikiana pia katika kufanya hiyo biashara.