Connection ya kuagiza mzigo Kariakoo bila kwenda

we hela inakuwasha utazurumiwa tu uje hap hap kulalamika biashar haitak uviv fata mzigo mwenyew au laa tumia ndugu ambao unawaamn na wapo uko wao waend kweny mzigo wakikitumia picha umehakik umependa ndio uwatumie hela unles utakula za uso uyo dada jamaa yangu kalizwa juz juz tu
 

Attachments

  • Screenshot_20240731_113331_Messenger.jpg
    138.9 KB · Views: 12
Inategemea na mtu anayeagiza kwake mkuu usiharibu biashara za watu. Mm ndo mishe zangu kariakoo hizo nina muda kidogo... kila siku kariakoo watu wanalizwa hata jana camelia na leo watalia. Ndo mana hizi haagizwi kila mtu
 
Unatafuta kuibiwa japo waaminifu wapo....

Hao waaminifu wenyewe wanaweza kukufanyia uaminifu Mara nyingi siku ukijaa umeibiwa
Amtafute jMaa mmoja Instagram anaitwa kelvin kibenje alafu aombe recommendation tu. Mm hii kazi ndo inaniweka mjini daslam toka nirudi bongo. Na kila kitu kitafanywa hapahapa jukwaani ili nipate wengine
 

eti ndio nishakalia msumari wa nchi kumi
 
Nipe mim hiyo kaz lakini lazima tukubaliane malipo kwanza kabla ya kazi ofisi yangu ipo kariakoo mtaa wa aggrey na likoma mkabala na bank ya mkombozi , mtume mtu aje ajihahakishie kisha tuanze kazi namba zangu hizo 0687391033.

Usilete utani maana kuna watu wanasema hiv kisha kazi yao inabaki kuuliza bei na kukausha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…