chiefsongea
Member
- Nov 12, 2018
- 35
- 31
Connections za IFM walokole wazipate wapi sasa?Wakuu habari za muda huu? Bila shaka nisiwapotezee muda: NAOMBA KUJUA KWANINI WATUMIAJI WA POMBE (walevi) wana connection sana kuliko walio okoka nk.
Miss Natafuta she need just a good friend like meConnections za IFM walokole wazipate wapi sasa?
Kuna kali imetoka ya Miss Natafuta , nikupe connection?
Miss Natafuta she need just a good friend like me
Kuna rafk yng alikuwa mlevi lakin alivyo okoka tu connection zote za madili, hela, marafik zikapotea[emoji848][emoji848][emoji848] sasa iv ni kama amevurugwa na maisha.Wafia dini Mara nyingi ndo wanatupa connection hasa Hawa walokole wanaojificha kwenye kivuli cha dini
Hakika[emoji482][emoji482]More beers
Less hypocrisy
Wazee wa gambe hata wakikosa hela huwez kujua wanatunziana siri sana[emoji1548][emoji1548]tunakutana tunapozitafuta na tunakutana kwenye kutumia ndo connection zinzazliwa
kabisa mkuu na kichopatikana kidogo kitaongezwa maji kitoshee😄😄Wazee wa gambe hata wakikosa hela huwez kujua wanatunziana siri sana[emoji1548][emoji1548]
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app