Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Zote ni mbwembwe kujenga umaarufu kwa pambano.Uaga kuna ugomvi wa kupangwa, ila hawa jamaa ni kweli hawaivi hadi leo hii, Khabib anamchukia sana Conor kwakuwa alifikia hatua ya kukashifu dini yake.