Conor McGregory vs Cowboy: Wapenzi wa MMA/UFC njooni hapa

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Irishman Conor McGregory anatarajiwa kupanda Octagon kupigana na Mmarekani Donald Cerrone 'Cowboy' mnamo jumapili alfajiri kwa masaa ya EA. Ni pambano linalokuja baada ya Conor kukaa nje ya ulingo kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kupokea kichapo kikali kutoka kwa Mrusi Khabib Nurmagomedov , pambano hilo la PPV linatarajiwa kuvuta hisia za mashabiki wengi wa MMA kwakuwa linashirikisha two big names (legends).

Tupeane updates hapa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nalisubil kwa hamu kuu ila kwangu mm Conor Mc Gregor anamchakaza cowboy ila ingenoga angeludiana na khabib yule mwamba Ana roho mbaya kama Rambo vile ๐Ÿ‘Š
 
Conor toka adundwe na Khabib kawa wa kawaida, siku ile alipigwa kipigo cha mbwa koko, Cowboy anashinda hili pambano japo Conor ana fans base kubwa

Nataman siku moja kuona wakali hawa

Khabib vs Tony Farguson

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ngoja tuendelee kusubil ili pambano Sema saiz nao UFC wanaweka mapambano ya madogo sana sijui Korean zombie sijui kina nan nan mpak mood inaisha but STILL MMA/UFC ni hatare nakumbuka Ronda rousey alivyo chakaaga ndani ya sekunde Kazaa damu uso wote ila kaenda WWE kawa mbabe ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Tofautisha maigizo na Reality, WWE ni maigizo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, style ya Khabib siipendi sema ndo hivyo inampatia ushindi. Ni ngumu sana kumzuia asikudondoshe chini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile style ya Khabib kila mtu haipendi ila Tony naye anaifaham vyema kuicheza ila hapendagi kuindekeza kama afanyavyo Khabib, yeye Tony anakupasua uso kwa ngumi tu
Khabib janja janja kama Joshua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ