Conspiracy Of Michael Sata Death and Being Tanzanian immigrant

Very interesting...
Tanzania tuli-take advantage gani ya kiintelijensia kwa jamaa kuwa Mtanzania mwenzetu??

Maana mwanya kama huo akiupata Kagame, hatafanya kosa.
hapo mwishon hio sentensi sio shurtia bali ni sahili.................
 
bunge hili la ndugai na yule mwana dada? au bunge jingine la JAMHURI YA WAKANDA?
 

Kaka nakubaliana na wewe ukishakuaa na katiba nzuri hata zero brain anaweza kuwa Rais , si unaona hata South Africa katiba inavyowabeba
Nyerere kabla hajafariki aliongelea Sana katiba alisema mna bahati watanzania mimi na hata aliyenifuatia hajaitumia katiba vibaya , katiba yenu mbovu Akija Rais Mbaya anaweza kuwa Mungu mtu


Suala la katiba hata BARAZA LA MAASKOFU Wamegusia juzi
Na kuna kitu lazima hata Ndugu zangu ccm wawe Makini
Hakuna taasisi ilivyokua inamtetea Huyu kwa miaka yote hii mitatu kama TEC
WAO wana Siri Kubwa na ni vigumu Sana kumuunga mtu mkono lakini pia ni wagumu Sana kubadilika uamuzi na ni wavumilivu ni ajabu sana kama at last wameamua kutoa tamko rasmi kumpinga
 

Michael Sata ni wa kutokea Tabora au Mbeya Tanganyika au Mpika Zambia ?
 
I dream of the day Africa will stand as one UNITED STATES OF AFRIKA!

States and not countries who are all fighting for something that they will only achieve if they stand together as one in search of it and not in fight for it!

I dream of the generation that will achieve this and all the glorious & dignified power that Afrika deserves and was created for!!

My dream is Wild but my dream is valid.
 
Hivi na sisi tuna walowezi na mapandikizi ktk serikali yetu?
Nalog off
 
Tuhuma zake zinapaa zaidi kutokana na yeye kusoma Upadri Tabora
 
Tusifukue makaburi ya watu, ya kwetu yakifukuliwa humu kuna watu mtabaki midomo wazi!.

P.
umenikumbusha ya Mange na Rais wetu: Waafrica hutunakazi ya kufanya hivyo tunaendelea kuamua kutoendelea, wamarekani hawahoji uraia wa Barak Obama amabye History yake iko wazi, siss tunawinda na kupika history lakini hatusemi faida ya mawindo hayo. Poor we
 
Hofu, tumezoea kutafuta sababu za kila kufeli kwetu
 
Mnyakyusa wa Ibililo .uko Tabora mmemsingizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…