Kwa ufaransa baba yake Sarkozy ni mhungary na alizaliwa Hungary ila Sarkozy alizaliwa Paris na amekuwa rais
Mgombea urais mwaka 2012 Eva joly ni MNorway alizaliwa Norway na ana uraia pacha wa Norway na Ufaransa lakini usalama wa Taifa ulimruhusu na aligombea urais
..turudi Nyumbani tuseme rais asili ya mababu zake si wazawa halisi na tuseme anatumiwa na ana nia ovu kamwe hatoweza kutekeleza sababu amezungukwa na wazawa kila mahala na idara yote wazawa lukuki nani atakubali nchi yake inasalitiwa anyamaze tuseme mmoja ,wawili wameuchuna hivi 100 ,300 wengine watanyamaza wote ?
Rais akionekana ana hujumu kupitia mikataba bunge lipo lina mu-impeach ,idara ipo na wapo kitambo kwenye system na rais hawezi kupenyeza wakubwa na wakongwe na maafisa wengine wazawa wapo hivyo ni impossible
Marais wanakuja na kuondoka Tiss ipo kabla na itakuwepo wamefanya kazi na marais waliotangulia na atayekuja ,hivyo usidhani wanaona usaliti watanyamazia hapana..napinga 100% wakiona ujinga nyaraka zinaachiwa bungeni anakuwa impeached na kushtakiwa ..vigumu na haiwezekani