Conspiracy Of Michael Sata Death and Being Tanzanian immigrant

Conspiracy Of Michael Sata Death and Being Tanzanian immigrant

Very interesting...
Tanzania tuli-take advantage gani ya kiintelijensia kwa jamaa kuwa Mtanzania mwenzetu??

Maana mwanya kama huo akiupata Kagame, hatafanya kosa.
hapo mwishon hio sentensi sio shurtia bali ni sahili.................
 
Kwa ufaransa baba yake Sarkozy ni mhungary na alizaliwa Hungary ila Sarkozy alizaliwa Paris na amekuwa rais

Mgombea urais mwaka 2012 Eva joly ni MNorway alizaliwa Norway na ana uraia pacha wa Norway na Ufaransa lakini usalama wa Taifa ulimruhusu na aligombea urais

..turudi Nyumbani tuseme rais asili ya mababu zake si wazawa halisi na tuseme anatumiwa na ana nia ovu kamwe hatoweza kutekeleza sababu amezungukwa na wazawa kila mahala na idara yote wazawa lukuki nani atakubali nchi yake inasalitiwa anyamaze tuseme mmoja ,wawili wameuchuna hivi 100 ,300 wengine watanyamaza wote ?

Rais akionekana ana hujumu kupitia mikataba bunge lipo lina mu-impeach ,idara ipo na wapo kitambo kwenye system na rais hawezi kupenyeza wakubwa na wakongwe na maafisa wengine wazawa wapo hivyo ni impossible


Marais wanakuja na kuondoka Tiss ipo kabla na itakuwepo wamefanya kazi na marais waliotangulia na atayekuja ,hivyo usidhani wanaona usaliti watanyamazia hapana..napinga 100% wakiona ujinga nyaraka zinaachiwa bungeni anakuwa impeached na kushtakiwa ..vigumu na haiwezekani
bunge hili la ndugai na yule mwana dada? au bunge jingine la JAMHURI YA WAKANDA?
 
Kwa ufaransa baba yake Sarkozy ni mhungary na alizaliwa Hungary ila Sarkozy alizaliwa Paris na amekuwa rais

Mgombea urais mwaka 2012 Eva joly ni MNorway alizaliwa Norway na ana uraia pacha wa Norway na Ufaransa lakini usalama wa Taifa ulimruhusu na aligombea urais

..turudi Nyumbani tuseme rais asili ya mababu zake si wazawa halisi na tuseme anatumiwa na ana nia ovu kamwe hatoweza kutekeleza sababu amezungukwa na wazawa kila mahala na idara yote wazawa lukuki nani atakubali nchi yake inasalitiwa anyamaze tuseme mmoja ,wawili wameuchuna hivi 100 ,300 wengine watanyamaza wote ?

Rais akionekana ana hujumu kupitia mikataba bunge lipo lina mu-impeach ,idara ipo na wapo kitambo kwenye system na rais hawezi kupenyeza wakubwa na wakongwe na maafisa wengine wazawa wapo hivyo ni impossible


Marais wanakuja na kuondoka Tiss ipo kabla na itakuwepo wamefanya kazi na marais waliotangulia na atayekuja ,hivyo usidhani wanaona usaliti watanyamazia hapana..napinga 100% wakiona ujinga nyaraka zinaachiwa bungeni anakuwa impeached na kushtakiwa ..vigumu na haiwezekani

Kaka nakubaliana na wewe ukishakuaa na katiba nzuri hata zero brain anaweza kuwa Rais , si unaona hata South Africa katiba inavyowabeba
Nyerere kabla hajafariki aliongelea Sana katiba alisema mna bahati watanzania mimi na hata aliyenifuatia hajaitumia katiba vibaya , katiba yenu mbovu Akija Rais Mbaya anaweza kuwa Mungu mtu


Suala la katiba hata BARAZA LA MAASKOFU Wamegusia juzi
Na kuna kitu lazima hata Ndugu zangu ccm wawe Makini
Hakuna taasisi ilivyokua inamtetea Huyu kwa miaka yote hii mitatu kama TEC
WAO wana Siri Kubwa na ni vigumu Sana kumuunga mtu mkono lakini pia ni wagumu Sana kubadilika uamuzi na ni wavumilivu ni ajabu sana kama at last wameamua kutoa tamko rasmi kumpinga
 
who originated from Chief Jumbe’s area in the current Mambwe District, settled in Mpika and socialised with Sata’s parents who also originated from Mbeya, Tanzania. KK has constructed a mansion near the banks of Lutembwe River in Malambo. The reason why KK’s son Kaweche wants to stand in Malambo on PF’s ticket in the hope that he would garner votes of sympathy from his late mother’s tribe the Kunda. Yet the author is being economical with the truth. In 1947, Sata entered Katibunga Seminary for a year. Records show that he was moved to another Catechists school called Kantensha in Isoka close to the Tanzanian border where he spent three years from 1948 to 1951...... Source: Michael Sata's Life history from 1937 to 1973

Michael Sata ni wa kutokea Tabora au Mbeya Tanganyika au Mpika Zambia ?
 
I dream of the day Africa will stand as one UNITED STATES OF AFRIKA!

States and not countries who are all fighting for something that they will only achieve if they stand together as one in search of it and not in fight for it!

I dream of the generation that will achieve this and all the glorious & dignified power that Afrika deserves and was created for!!

My dream is Wild but my dream is valid.
 
Hivi na sisi tuna walowezi na mapandikizi ktk serikali yetu?
Nalog off
 
Tuhuma zake zinapaa zaidi kutokana na yeye kusoma Upadri Tabora
 
Tusifukue makaburi ya watu, ya kwetu yakifukuliwa humu kuna watu mtabaki midomo wazi!.

P.
umenikumbusha ya Mange na Rais wetu: Waafrica hutunakazi ya kufanya hivyo tunaendelea kuamua kutoendelea, wamarekani hawahoji uraia wa Barak Obama amabye History yake iko wazi, siss tunawinda na kupika history lakini hatusemi faida ya mawindo hayo. Poor we
 
umenikumbusha ya Mange na Rais wetu: Waafrica hutunakazi ya kufanya hivyo tunaendelea kuamua kutoendelea, wamarekani hawahoji uraia wa Barak Obama amabye History yake iko wazi, siss tunawinda na kupika history lakini hatusemi faida ya mawindo hayo. Poor we
Hofu, tumezoea kutafuta sababu za kila kufeli kwetu
 
Kaka nakubaliana na wewe ukishakuaa na katiba nzuri hata zero brain anaweza kuwa Rais , si unaona hata South Africa katiba inavyowabeba
Nyerere kabla hajafariki aliongelea Sana katiba alisema mna bahati watanzania mimi na hata aliyenifuatia hajaitumia katiba vibaya , katiba yenu mbovu Akija Rais Mbaya anaweza kuwa Mungu mtu


Suala la katiba hata BARAZA LA MAASKOFU Wamegusia juzi
Na kuna kitu lazima hata Ndugu zangu ccm wawe Makini
Hakuna taasisi ilivyokua inamtetea Huyu kwa miaka yote hii mitatu kama TEC
WAO wana Siri Kubwa na ni vigumu Sana kumuunga mtu mkono lakini pia ni wagumu Sana kubadilika uamuzi na ni wavumilivu ni ajabu sana kama at last wameamua kutoa tamko rasmi kumpinga
Mnyakyusa wa Ibililo .uko Tabora mmemsingizia
 
Back
Top Bottom