Tetesi: Conspiracy Theories: TRA na Ukadiriaji Kodi wa Kukomoana na Ukabila

Tetesi: Conspiracy Theories: TRA na Ukadiriaji Kodi wa Kukomoana na Ukabila

Mkuu yapo mambo ukiwa sio mshiriki unaweza ukahisi ni siasa tu. Ukisikia kuna udini/mfumo 'jizuz'/upendeleo kwa kina 'mohamad' au kuna kiukanda, au ukabila, usibishe kwanza, take your time kuchunguza. Mambo yanavyoendeshwa ni so covertly.
Nikikupa mfano wa biashara hasa kwa uhakika wangu-kanda ya 'viktoria' ndugu zetu wa 'kule ulipo mlima mrefu kabisa' wamehodhi sekta ya biashara sana. Kiasi kwamba hata ukiwa unajitanua vipo vikwazo sana na ukichunguza sana kuna 'vivuli' ambavyo ukiviangalia kwa 'jicho la 3' vinatoka kule 'mlimani'. Ogopa sana hv vikundi vya kikabila katika 'mkoa wa ugenini'. Wengne wako kutafuta hela, sio kudumisha ngoma.
 
Mh! Ubaguzi unazidi kushamiri nchini THANKS to dhalimu DU na genge lake.

Juzi wafanyabiashara jijini Mwanza wamelalamika kwamba biashara zinafungwa kwa sababu makadirio ya kodi ni makubwa kuzidi uhalisia.

Leo nilikuwa Kariakoo, nimewasikia wafanyabiashara fulani wakimjadili mfanyabishara mmoja waliyemuita Iwawa (naamini sikosei jina). Wanadai katika vikao vya wafanyabiashara wa Mbeya na TRA mwaka jana, Iwawa aliwalaumu TRA Mbeya kuwabambikia kodi wafanyabiashara wazawa wa Mbeya kama wanakomoa kwa sababu hawana machungu na biashara zao, na kwamba hiyo ni sababu kubwa ya wafanyabiashara wengi wenye asili ya huko kutowekeza biashara zao kwenye mji wa Mbeya. Inadaiwa ndani ya wiki kadhaa baada ya hicho kikao Iwawa alipelekewa madai ya kodi yanayozidi milioni mia sita (600,000,000/=).

Inawezekana ni tetesi tu, lakini kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana na makadirio ya kodi kwa baadhi ya miji, huku wafanyabiashara wa kabila fulani wakidaiwa kutosumbuliwa sana na haya makadirio.

Huwezi shughulikia tetesi zote, lakini tetesi kama hizi zinapaswa kuchunguzwa kwa ustawi wa Taifa.
 
"Hivi wewe ni mfanyabiashara au unaliskia tu neno biashara, au na wewe Ni miongoni mwa wale wanakabila lisiloguswa?? Ungeguswa na huu mwiba wa makadilio mabovu ya kodi nadhani usingeongea maneno ya kidwanzi kama haya Sisi wahangwa acha tuongee yaliyotukuta na sio izo theories ambazo mlikua mnazikalili mzumbe na Arusha ili muwafurahishe maprofesa msipate sap halafu mje kuajiriwa BOT(katika njozi zenu)
Haya matatizo ya kujibu bila kuelewa yataisha lini? Unadhani TRA wanakadiria kama unauhakika na hesabu zako? maana kisheria inatakiwa ukatwe kulingana na mapato yako. Usipokua na hesabu sahihi unawapa mwanya wa kuja kuleta huo ukabila unaousema. Huko kubishana na ukweli ndio shida zetu. Kama wanakadiria ovyo dawa sio kuja kuropoka hapa ni kuzuia wasikadirie biashara yako. na ili kuzuia wasikadirie ni kuwa na hesabu sahihi kila wakati. Na kwa taarifa yako sijasoma Huko mzumbe wala Arusha unakojua wewe.
 
Unapomfungia mtu biashara unafikiri atakulipaje?

Ova
 
Kinachotuumiza watanzania na waafrika hatuweki hesabu zetu wazi. Kama mtu unatunza hesabu ya biashara yako vizuri huwezi kubambikiziwa kodi. Tatizo lipo watu wanaogopa kuweka wazi biashara zao kwa hofu ya kulipa kodi kubwa wanaishia kubambikiwa kwa makadirio ya macho tu ya TRA. Ni bora ukalipa kodi kubwa lakini sahihi kuliko ukambabikiziwa kodi kubwa kwa kuogopa kulipa sahihi. Ukiwa na data zote, kodi hukatwa kwenye mahesabu sio kwa macho ya TRA. Tujifunze kuweka wazi biashara zetu. Usiri unafanya ukifa hata biashara zako zife maana sio mtoto au mke anayejua hesabu zako, wataendeshaje?
Hilo ni neno. Lakini je, nani mwenye jukumu la kuelimisha uwekaji kumbukumbu ili kodi ikusanywe kiuhalisia? Kumbuka,siyo wafanyabiashara wameelimika kivile.
 
Akashia ndo wanajua mziki wa kodi
 
Haya matatizo ya kujibu bila kuelewa yataisha lini? Unadhani TRA wanakadiria kama unauhakika na hesabu zako? maana kisheria inatakiwa ukatwe kulingana na mapato yako. Usipokua na hesabu sahihi unawapa mwanya wa kuja kuleta huo ukabila unaousema. Huko kubishana na ukweli ndio shida zetu. Kama wanakadiria ovyo dawa sio kuja kuropoka hapa ni kuzuia wasikadirie biashara yako. na ili kuzuia wasikadirie ni kuwa na hesabu sahihi kila wakati. Na kwa taarifa yako sijasoma Huko mzumbe wala Arusha unakojua wewe.
🙂🙂🙂🙂
acha nicheke tu mana hakuna namna mbuzi awezi kucheza mziki hata uimbe ujikakamue au ujambe
 
Wananiacha hoi tu pale wanapojushauri ufunge biashara badala ya kukishauri njia nzuri ya kuondokana na huo mkwamo, nadhan huko vyuoni kuna somo la kumshauri mteja afunge biashara, halaf tra wote wana vitabia vinavofanana
wanamkwamisha mzee kipara kwa makusudi akija kustuka kapigwa za chembe
 
Haya malalamiko hayakuwepo kipindi cha miaka ya nyuma kabla ya JPM, ina maana TIARAEI walikuwa wanakadria vipi hizo kodi miaka hiyo na sasa wanafanyaje?
 
Mkuu sio Iwawa peke yake na sio Mbeya peke yake ambapo hii tabia ipo. Arusha na Moshi biashara zinafungwa kila kukicha kwa sababu ya upuuzi huo huo wa kumkomoa mfanyabiashara kupitia kodi.

Ni ukosefu mkubwa wa ubunifu kuanzia wizara ya fedha mpaka huko TRA. Unapomuumiza mfanyabiashara wa kati, unaikomoa jamii nzima inayomzunguka. Unaua uhai wa familia, na unaowaumiza watakachofanya ni kuichukia serikali.
Sasa ni kitu gani kinakufanya ukeshe kusifia serikali humu? We kijana mshamba sana!
 
Jamaa wewe unafikiri mzira nkende hayo anayajua kweli au ?
 
Huku kwetu ukiendaa wanakukadiria kodi kubwa bilaa kuangalia mauzo yako ukilalamikaa unaambiwa kwa sauti kubwa SIULIPIGA KURA MWENYEWE huwezi funga biasharaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
U
Haya malalamiko hayakuwepo kipindi cha miaka ya nyuma kabla ya JPM, ina maana TIARAEI walikuwa wanakadria vipi hizo kodi miaka hiyo na sasa wanafanyaje?
Una uhakika? malalamiko yamezidi tu ila hata kabla yake yalikuwepo sana. Mitaa ninayoishi tulikua tunafunga maduka kila tusikia TRA wanapita na hiyo ilikua 2009 -2013
 
Sasa ni kitu gani kinakufanya ukeshe kusifia serikali humu? We kijana mshamba sana!
Mkuu, punguza povu hilo. Penye kutakiwa kusemwa ukweli lazima usemwe, penye jema lenye kustahili kuungwa mkono nitaunga mkono.
 
Mkuu, punguza povu hilo. Penye kutakiwa kusemwa ukweli lazima usemwe, penye jema lenye kustahili kuungwa mkono nitaunga mkono.
Huna lolote we Mnyambi ukweli mnaujua kuwa huyo mshamba na limbukeni nchi imemshinda
 
Juzi wafanyabiashara jijini Mwanza wamelalamika kwamba biashara zinafungwa kwa sababu makadirio ya kodi ni makubwa kuzidi uhalisia.

Leo nilikuwa Kariakoo, nimewasikia wafanyabiashara fulani wakimjadili mfanyabishara mmoja waliyemuita Iwawa (naamini sikosei jina). Wanadai katika vikao vya wafanyabiashara wa Mbeya na TRA mwaka jana, Iwawa aliwalaumu TRA Mbeya kuwabambikia kodi wafanyabiashara wazawa wa Mbeya kama wanakomoa kwa sababu hawana machungu na biashara zao, na kwamba hiyo ni sababu kubwa ya wafanyabiashara wengi wenye asili ya huko kutowekeza biashara zao kwenye mji wa Mbeya. Inadaiwa ndani ya wiki kadhaa baada ya hicho kikao Iwawa alipelekewa madai ya kodi yanayozidi milioni mia sita (600,000,000/=).

Inawezekana ni tetesi tu, lakini kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusiana na makadirio ya kodi kwa baadhi ya miji, huku wafanyabiashara wa kabila fulani wakidaiwa kutosumbuliwa sana na haya makadirio.

Huwezi shughulikia tetesi zote, lakini tetesi kama hizi zinapaswa kuchunguzwa kwa ustawi wa Taifa.

Huu ukadiriaji unatoa mwanya mkubwa sana tena sana wa rushwa.
 
Sio tetesi hii ni kweli kabisa. Mfano wachaga awamu hii wana kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom