Conspiracy Theory (MIND SPINNING): Sheikh Ponda Issa Ponda hajapigwa na Polisi


Mkuu ahnsante sana kwa thread yako , ur vry smart
 
Ni ukweli mtupu kwenye hili suala, kuna ujanja unafanyika ili kupumbaza kundi fulani na kufunika mambo mengine. Ni wajinga tu ndy watakao amini huu upumbavu wa serikali ya tanzania na viini macho vya polisi
 
Ni ukweli mtupu kwenye hili suala, kuna ujanja unafanyika ili kupumbaza kundi fulani na kufunika mambo mengine. Ni wajinga tu ndy watakao amini huu upumbavu wa serikali ya tanzania na viini macho vya polisi

could it be that sheikh ponda anawafanyia kazi UWT bila yeye kujua au naye anafahamu? sijui
 
Failed assasination plot???

assasination? No, not at all. Siamini katika hiyo. They never wanted him dead. If at all they ever wanted they could have done in a smarter, call it professional way, na siyo kupiga 'risasi' in a public.

they have another motive behind. Kwanza mpaka sasa ponda yupo moi na hakuna any other indepedent source inayotoa maelezo ya kina ya kilichotokea......

This is bluff.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…